Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #21
Yan mwendo ulishaonekana mbaya pale Jk aliposhindwa kuwachkulia hatua mafisadi waliokula pesa za Umma hii ndo ilipunguza Imani kwa Rais huyu kipenzi cha Watanzania wengi,Jk alizidi kushusha Heshma yake aliposema mafisadi warudishe pesa, wakati Raia mwngne apofanya uharifu mfano kuiba basi inangaliwa sheria inasema nini na yule mtu ufungwa Jela lakini Jk alishindwa hili.
Jk angepata heshma kama angesema mnatakiwa kurudisha Pesa na mtapokea kifungo cha miaka 30 jela kwa kula pesa za Umma wananchi wangepiga Makofi.....Jk ni rahisi pekee aliyependwa na Wananchi wengi bila kuangalia Chama chake na kumchagua kama yeye, Lakini Jk ametuvunja moyo wananchi wake katika kushughulikia Mafisadi.
Nakubali yapo mema mengi ameyatenda Jk lakini hili la wizi amelishindwa ndomana wananchi wanaona kuwa naye ni mchafu sababu KILICHO KICHAFU HAKIWEZI KUMSAFISHA MCHAFU MWENZAKE BALI KISAFI NDO KINAMSAFISHA MCHAFU JK FANYA CHAGUO GUMU CHUKUA HATUA UTAPATA HESHMA KUBWA.
Umenena vema mkuu! Wadadisi tunajionea na tunazidi kuomba kifo kitakatifu kitimie