Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
Wakiwa maswahiba nci inaibiwa wakiwa maadui mtandao wao wawizi unafichuka sasa bora lipi kwa hawa magamba
Wakiwa maswahiba nci inaibiwa wakiwa maadui mtandao wao wawizi unafichuka sasa bora lipi kwa hawa magamba
siwezi kuzaa mtoto nikamuita LOWASA KIKWETE CHENGE ASIJE AKASUMBULIWA NAKUZOMEWA BARABARANI
Ushauri mzuri sana, hofu yangu ni wahusika wenyewe, je wataupokea?
Wao wanaamini kuwa chama chao kimejihuisha baada ya kufanya uchaguzi wake mwezi jana!
Chadema si chama cha Upinzani ni NGO. CCM is more than one man's party. No one is above CCM. Everyone including u is CCM. Bila CCM hizi threads zingekuwepo? Nyie mlioshiba na kupata vitambi kwa sera na uwajibikaji wa Chama mngekuwepo? Big Big Up CCM...:majani7:
siwezi kuzaa mtoto nikamuita LOWASA KIKWETE CHENGE ASIJE AKASUMBULIWA NAKUZOMEWA BARABARANI
Mafisadi wote wapo ccm hivi ushawahijiuliza swali hili
Mfano Abdallah Kigoda inasemekana wakati nchi inaingizwa mkenge wa mkataba na IPTL yeye alikuwa ni waziri na hata alikwenda Malaysia na kurudi na pesa zilizotumika kwenye moja ya mikutano ya CCM. Leo Kigoda bado ni waziri sijui wanalipa fadhila au ndo wamemuona anazo mbinu za kuifilisi nchi hivyo ni mtu muhimu kwenye genge la mafisadi
Unajua wasifu wa Rais wa Madagascar?Siwezi mwita mtoto wangu SILAA wakasema yeye au baba ake ameazima mke au MBOWE mwanangu akaja kuendesha madanguro
Mfano Abdallah Kigoda inasemekana wakati nchi inaingizwa mkenge wa mkataba na IPTL yeye alikuwa ni waziri na hata alikwenda Malaysia na kurudi na pesa zilizotumika kwenye moja ya mikutano ya CCM. Leo Kigoda bado ni waziri sijui wanalipa fadhila au ndo wamemuona anazo mbinu za kuifilisi nchi hivyo ni mtu muhimu kwenye genge la mafisadi
Duuuh hii mpya mkuu hebu ishushe kwamapana zaiidi tujue
Niseme nini? Mimi naona hatua ya kwanza tuiondoe CCM madarakani. Nikisema sasa hivi watani-KolimbaHebu bomoka bwana mkubwa. Unakitu JF inakihitaji hapo. Tumia dakika zako vizuri hapa mkuu.
Niseme nini? Mimi naona hatua ya kwanza tuiondoe CCM madarakani. Nikisema sasa hivi watani-Kolimba