kenstar
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,276
- 1,447
Mbona magufuli anaamini nchi zima wezi ndo maana hataki kusafiri .....lakini hapo hapo mahakama ya wezi hamna kesi nashindwa kuelewa kiswahili chake.....Mtu hawi safi kwa kuwa tu kanunua Chama chenu, ilikuaje mwanzo muamini ni Mwizi halafu baada ya manunuzi mkabadilika
Mjinga kweli wewe ripot zaidi ya tatu zimeundwa hajatajwa popote kama kanunua chama mtajeni na ushahidi sasMtu hawi safi kwa kuwa tu kanunua Chama chenu, ilikuaje mwanzo muamini ni Mwizi halafu baada ya manunuzi mkabadilika
Alipata nafasi ya kueleza ukweli na akaeleweka vizuri. Shida iko wapi?Mtu hawi safi kwa kuwa tu kanunua Chama chenu, ilikuaje mwanzo muamini ni Mwizi halafu baada ya manunuzi mkabadilika
Habari wakuu
Mzee lowassa hakutajwa kwenye ripoti yeyote ya ufisadi nchini
Makada mbali mbali wa ccm wametajwa katika ufisadi lakini hadi Leo hawaja tumbuliwa na kupelekwa mahakama ya mafisadi
Mzee lowassa shikamoo wewe nywele nyeupe,moyo mweupe na kamaadili upo clean
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipata nafasi ya kueleza ukweli na akaeleweka vizuri. Shida iko wapi?
Hata Mandela nchi nyingi za magharibi zilimuorodhesha kama gaidi (kitu ambacho ni kibaya zaidi kuliko fisadi) lakini alipo pata nafasi ya kujieleza kafa akijulikana kama shujaa.
Na nazan hzi kamat zote wanaziunda ili kumtafuta yy lkn majibu yakija inakula kwao wenyewe!.Habari wakuu
Mzee lowassa hakutajwa kwenye ripoti yeyote ya ufisadi nchini
Makada mbali mbali wa ccm wametajwa katika ufisadi lakini hadi Leo hawaja tumbuliwa na kupelekwa mahakama ya mafisadi
Mzee lowassa shikamoo wewe nywele nyeupe,moyo mweupe na kamaadili upo clean
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umebadili madaAcha kujikweza Wewe nani ndani ya Chadema?
Makubaliano ya kumteua kuwa Mgombea Urais walifanya Gwajima na Mbowe halafu Kamati kuu ikaitwa kupewa Taarifa tu ya utekelezaji!
Mbona umebadili mada
Anzisha yako tuje tuchangie mbali na hapo kelele za kiuchwara hizo
We ni shoga la kawaida tuu sina haja ya kupambana nawe ulishaharibiwa wewechangia vinavyohusiana na mada hii achana nayo kwani nani kakwambia usipochngia hii utapewa talaka tatu na basha wako?