mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 690
Sina mengi ya kuandika nataka kusema yaliyomo moyoni mwangu.
Ninani tena Tanzania yetu hii anayeweza kukubali makosa yake na kuamua kuwajibika kwa kuachia ngazi?
Nawakumbuka watu wawili tuu na historia itawakumbuka kama wazalendo halisi wa nchi yetu.
Wengine wamebaki wanaimba wimbo wa uzalendo bila ladha. Wanachosema na wanachofanya haviakisi neno uzalendo.
Madudu kibao wamefanywa na hawa wazalendo jina lkn hawapo tayari kusema hata sorry kwa hasara walizoliletea taifa.
Nyumba za serikali zimeuzwa no sorry, barabara chini ya kiwango no sorry, bunge kutunga sheria za kimauzauza no sorry.
Je ni Lowassa tuu na mzee Mwinyi ndio wenye ujasiri wa uzalendo wa kustep down na kusema sorry?
Viva wazalendo wa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninani tena Tanzania yetu hii anayeweza kukubali makosa yake na kuamua kuwajibika kwa kuachia ngazi?
Nawakumbuka watu wawili tuu na historia itawakumbuka kama wazalendo halisi wa nchi yetu.
Wengine wamebaki wanaimba wimbo wa uzalendo bila ladha. Wanachosema na wanachofanya haviakisi neno uzalendo.
Madudu kibao wamefanywa na hawa wazalendo jina lkn hawapo tayari kusema hata sorry kwa hasara walizoliletea taifa.
Nyumba za serikali zimeuzwa no sorry, barabara chini ya kiwango no sorry, bunge kutunga sheria za kimauzauza no sorry.
Je ni Lowassa tuu na mzee Mwinyi ndio wenye ujasiri wa uzalendo wa kustep down na kusema sorry?
Viva wazalendo wa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app