Lowassa,Mbowe,Seif,Kingunge msiniangushe,msituangushe

Lowassa,Mbowe,Seif,Kingunge msiniangushe,msituangushe

too late.
not interested
not fair
layman
 
Mtanzania mwenzangu, kesho asubuhi saa mbili tuungane na viongozi wa UKAWA kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja - Dar kwa maamuzi halisi ya mustakabali wa Taifa letu. IMETOSHA. Mwambie na mwenzako



Tamko hilooo hapoo
 
Nilikuwa nimepoa lkn huu uzi unanifanya nijione mduanzi. daaaa najiona aibu eti natawaliwa na ccm! damn!!!!!!
 
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.

Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!

Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!

Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwewe








WEWE MRUNDI hauijui bongo,,,wadanganye kama haijala kwao mazima,,,,
 
Mkuu naumwa na roho,halafu nahisi nimeanza kupata matatizo ya moyo kwaajili ya huu uchaguzi,frankly speaking I dnt care anymore,nna watoto wawili wa kiume na wanatosha.It is CCM out or Paul is a dead man

Jitokeze basi hadharani na sio unaongelea mtandaoni.
 
Hata matokeo ya viti vya ubunge yanaonesha ukawa imekuwa ukiwa.
 
Mkuu naumwa na roho,halafu nahisi nimeanza kupata matatizo ya moyo kwaajili ya huu uchaguzi,frankly speaking I dnt care anymore,nna watoto wawili wa kiume na wanatosha.Mimi naomba tamko la uelekeo jamani

Mkuu Wangu Pole Sana, Ni KWELI Uchaguzi Huu Umeumiza Sana Watu, punguza Hasira Mkuu Wangu, Subira Ya Vuta KHERI, Tusikate Tamaa, Kama Ipo Ipotu, Chamsingi Tumlilie MUNGU Yeye Ni Mweza Wa Mambo Yote, Kama HAKI yetu Imepokwa Basi HUKUMU Yake Ichukue Nafasi Kwa Wote Waliohusika Na Mchezo Huo.
 
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.

Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!

Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!

Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.

Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??

Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??

Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.


60% nyinyi akina nani??? Lowassa kaletwa UKAWA na Mbowe na genge lake
 
paul alex,nikufananishe na nani? Alexander mkuu wa uyunani?,napolean wa ufaransa? au mars mungu wa vita wa Rumi? HAKIKA WEWE NI ZAIDI YA SHUJAA,una moyo wa kifalme na nguvu za kiungu,sisi tupo nawe kamanda!

Pamoja ndugu yangu,nafarijika sana kumuona mwana wa Mungu kama wewe hapa.Historia imetuleta kwenye ukingo wa machafuko,tumejikusanyia matatizo mengi sana na sasa ni wakati wa kuyatatua.Woga ni ugonjwa,woga ni sawa na homa ya tumbo ikikuingia inakumalizia nguzu na upeo wa kufikiria.

Hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono,ni Tanzania sasa na watanzania ndio sisi.
Ila tupige hatua moja kwanza kabla ya mia zilizo mbele,ila kabla tuusikilize uongozi!

Ni Mungu,Lowassa na Tanzania!
 
imagejpeg
 
Viroba bhana! Hiyo asilimia 60 imetoka wapi mbona mabox ya kura hayaonyeshi hivyo?
 
maalim ana kinga ya makamu wa rais....hawa hawana....! Lazima wawe na tahadhari na kauli zao.
 
Ukawa wameshinda uchaguzi huu, japo fisiem walifanikiwa kuingiza kura nyingi fake. Paul Alex umeongea vyema sana. Watoe tamko kabla watu hatujapoa
 
Pamoja ndugu yangu,nafarijika sana kumuona mwana wa Mungu kama wewe hapa.Historia imetuleta kwenye ukingo wa machafuko,tumejikusanyia matatizo mengi sana na sasa ni wakati wa kuyatatua.Woga ni ugonjwa,woga ni sawa na homa ya tumbo ikikuingia inakumalizia nguzu na upeo wa kufikiria.

Hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono,ni Tanzania sasa na watanzania ndio sisi.
Ila tupige hatua moja kwanza kabla ya mia zilizo mbele,ila kabla tuusikilize uongozi!

Ni Mungu,Lowu



utachafua mikono kuibeba mitondoo ya segerea
 
Viroba bhana! Hiyo asilimia 60 imetoka wapi mbona mabox ya kura hayaonyeshi hivyo?

Ndugu yangu nilikuwa wakala na nnajua baadhi ya mambo,Lowassa ameshinda.
Box la kura linaondoka kwenye kituo na karatasi zilizobaki na seal zilizobaki na wasimamizi wa nec wenye fomu zilizobaki na kalamu.Hapo unasemaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom