wapi behind keyboard?!
Ukawa bara mmeshindwa kihalali.... Ila zanzabar kuna mushkeli hata mi sikubaliani na zec.. Ila huku bara ukawa kubalini yaishe.. Ashindwae ni mume pia....
Kwani ulitaka wapishane kura 2 ndo ukubali kuwa wameibiwa hoja ya msingi mtu ashinde kwa halali hata tofauti ingekuwa kura milion 10 swali litabaki pale pale je ni ushindi halali? kama ni halali maneno hayapo watu watajipanga kwaajili ya uchaguzi mwengine. lakini kama mambo ndo yatakuwa tofauti watu lazima wahoji na wawe na dukuduku mioyoni mwaoNyie Ukawa naona mmerogwa na aliyewaroga kafa!! Mwenzenu Mr Zero hana hamu amejificha ke Hanang anachunga Kondoo.
Yaani tofauti ya kura milioni 2 bado mnaona mmeibiwa duh! Kweli kuna watu wanatumia vichwa kufugia nywele.
Huyo lazima wamshukie.Na ujiandae maana sitashangaa nikisikia kesho umewekwa kusikojulikana.
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Yani hata Mimi hapo ndipo wanaponiboa
Mkuu naumwa na roho,halafu nahisi nimeanza kupata matatizo ya moyo kwaajili ya huu uchaguzi,frankly speaking I dnt care anymore,nna watoto wawili wa kiume na wanatosha.Mimi naomba tamko la uelekeo jamani
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Ngoja tu nikae kimya lakini kati ya kauli ninayoichukia kwa sasa ni hiyo uliyoibold
Umenena kihekima na kwa busara sana, ahsante
Tanzania ina sheria??? Kama zipo zinafatwa?
Paul, Ulikuwa wakala wa vituo vingapi?Ndugu yangu nilikuwa wakala na nnajua baadhi ya mambo,Lowassa ameshinda.
Box la kura linaondoka kwenye kituo na karatasi zilizobaki na seal zilizobaki na wasimamizi wa nec wenye fomu zilizobaki na kalamu.Hapo unasemaje?
Mkuu naumwa na roho,halafu nahisi nimeanza kupata matatizo ya moyo kwaajili ya huu uchaguzi,frankly speaking I dnt care anymore,nna watoto wawili wa kiume na wanatosha.It is CCM out or Paul is a dead man
Well said,actually Mh.Lowassa hana pressure wenye kuchochea ghasia ni wale waliokuwa na ndoto za kuhukwaa Uwaziri Mkuu na watu wengine baki wengi wao wamejificha nyuma ya k/board kulaghai wenzao,hawana ubavu wa kuingia barabarani - maneno tu! Watanzania walio wengi wamekwisha fanya uhamuzi wa busara.wapumbavu hamtaisha hata kimya nalo ni jibu hiv unadhan low hasa hajui matokeo au mboowe hayafahamu kafe peke yako