Ndugu wananch wanaochangia hapa, tumesikia na tumeona kwa macho matukio ya wizi na dhuluma ktk uchaguzi. Wizi ni mojawapo ya dhambi ambayo Mungu anaichukia sana. Na madhara yake ni makubwa kwa jamii. Madhara ya wizi ni kama ifuatavyo.
1. Unaleta laana,ukipata kiongozi mwenye laana hiyo laana haitaishia kwake tu bali hata watu anaowaongaza na aliowachagua kuongoza wengine. Sumu hiyo inasambaa. Utashangaa kiongozi anachagua watu ambao wanaonekana ni wazuri lakini gafla wanakuwa wezi na sio waaminifu tena. Alafu anawaondoa na kuchagua wengine wanakuwa vile vile.
2.pia kuna watu wanaoshabikia wizi nao laana haiwaachi, hawatakuwa tofauti na hao waliofanya kitendo hicho.
3.kibaya zaidi kama kiongozi wenu ameingia madarakani kwa hiyo dhambi basi na kwa sababu yeye ndiye amekalia mamlaka basi adhabu ya Mungu sio kwake tu bali kwa wananchi wote.
Ushauri wangu, tujitenge na jambo hili na tuombe Mungu atusamehe na kuepusha na hili balaa. Nawatakia upendo amani na utulivu.
1. Unaleta laana,ukipata kiongozi mwenye laana hiyo laana haitaishia kwake tu bali hata watu anaowaongaza na aliowachagua kuongoza wengine. Sumu hiyo inasambaa. Utashangaa kiongozi anachagua watu ambao wanaonekana ni wazuri lakini gafla wanakuwa wezi na sio waaminifu tena. Alafu anawaondoa na kuchagua wengine wanakuwa vile vile.
2.pia kuna watu wanaoshabikia wizi nao laana haiwaachi, hawatakuwa tofauti na hao waliofanya kitendo hicho.
3.kibaya zaidi kama kiongozi wenu ameingia madarakani kwa hiyo dhambi basi na kwa sababu yeye ndiye amekalia mamlaka basi adhabu ya Mungu sio kwake tu bali kwa wananchi wote.
Ushauri wangu, tujitenge na jambo hili na tuombe Mungu atusamehe na kuepusha na hili balaa. Nawatakia upendo amani na utulivu.