Jifanye kujitoa akili, ukihitajika utapatikana tu. Wenzio 192 walikuwa mpaka na wakorea walipomaliza ku update software ya uhalifu wakatambua kuwa " Ulipo tupo".
Tanzania ni nchi ya amani.
huo ujinga wenu pelekeni hukohuko
wewe mpumbavu tu wengi hatumtaki huyo mgombea wenu tumemchagua magufuli. kwani hii nchi yakwenu hadi mkatae maamuzi ya wengi. huko moshi na arusha mkimchagua lowassa ndio hamuamini wengine tumechagua magufuli? kweli nyie hamnazo!Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Sina tatizo na kwenda sero,wala wasitumie nguzu kunitafuta.Andaani tu sero ya kutosha zaidi ya 60% ya watanzania.Mimi nitakuwa natangulia tu na wale 191
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
gaddafi aliwaita jina hilo hilo la mende hili jambo linahitaji busara kule libya si kwamba wengi walikuwa hawampendi gadaffi bali wachache walipoanza kuandamana mataifa ya wazungu yakapata upenyo na kuanza kuwapa support wapinzani busara inahitajika mtafurahia kuwa hawa ni wachache ila wakianza huwa ni kama kipindupindu punguzeni maneno yatakayozidisha jazba kwa wenzenu bora mkae kimyapolisi wetu wako tayari kwa lolote..ole wake panya ywyote aonekane analeta upuuzi
chief, ni kweli tunahitaji hawa viongozi wetu wa mabadiliko wasituangushe lakini pia tunahitajika kuuthibitishia ulimwengu kuwa ni kweli kuna udhalimu umefanyika kwenye uchaguzi huu. tukiweza kufanya hivyo hata Watanzania wenzetu wale walio wagumu kubadilika nina uhakika watarudisha moyo na kutuunga mkono, tena bila figisufigisu.
tufanye kama alivyofanya mwanabadiliko mwenzetu Maalim Seif...tu-publish matokeo yetu yenye viambatanisho vyenye ushahidi kutoka kwenye respective polling centres. hapo hakutawapo wa kusema a wala be!
Mkuu nakushauri upunguze munkari na ghadhabu za mkizi
kwani inakubidi ukumbuke kuwa "kuna maisha baada ya uchaguzi".
Tuipasue tanzania katikati tupate nchi mbili. mashariki wachukue ukawa waondoke na bahari na west wachukue ccm mwendo wa lakes. Hq ya ukawa iwe dar ilihali ya ccm ikiwa dodoma. Kwisha habari yake
Mkuu naumwa na roho,halafu nahisi nimeanza kupata matatizo ya moyo kwaajili ya huu uchaguzi,frankly speaking I dnt care anymore,nna watoto wawili wa kiume na wanatosha.It is CCM out or Paul is a dead man