Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Tanzania ni nchi ya amani.
huo ujinga wenu pelekeni hukohuko
Nimegundua hii amani amani ndio ujanja wa ccm kuendelea na udhalimu dhidi ya democrasia.
Tanzania ni nchi ya amani.
huo ujinga wenu pelekeni hukohuko
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Tanzania ni nchi ya amani.
huo ujinga wenu pelekeni hukohuko
Mkuu sisi tunadhulumiwa na kufanyiwa dharau na wewe unaona bado amani?
Miyoni kwetu moto unawaka na wewe unaona amani,kweli amani??
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.
Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!
Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!
Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.
Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??
Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??
Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.
Mkuu nakushauri upunguze munkari na ghadhabu za mkizi
kwani inakubidi ukumbuke kuwa "kuna maisha baada ya uchaguzi".
SIKIA ILI JINGA!
we ni Nyumbu namba moja Tz, yaani gorikipa wa manyumbu Tz!
Unataka tamko gani kwa mfano?
Ingia Road basi au msituni...
Tena nyumbu kama nyie serikari itawaogesha na maji ya ----- tu kwisha habari yenu! hamna ata aja ya kutumia bomu za machozi au siraha za moto!
Ukiona maboss wako wamekaa kimya jiongeze., usitujazie server na kusumbua askari wa mitandao.
tanzania ni nchi ya amani.
Huo ujinga wenu pelekeni hukohuko