Lowassa,Mbowe,Seif,Kingunge msiniangushe,msituangushe

Lowassa,Mbowe,Seif,Kingunge msiniangushe,msituangushe

Mm mwenyewe na shangaa ndo maana nasema zitto na slaa walikuwa na upeo mkubwa tutawakumbuka sana kuliko hawa tulionao kwahili
 
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.

Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!

Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!

Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.

Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??

Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??

Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.

SIKIA ILI JINGA!
we ni Nyumbu namba moja Tz, yaani gorikipa wa manyumbu Tz!
Unataka tamko gani kwa mfano?
Ingia Road basi au msituni...
Tena nyumbu kama nyie serikari itawaogesha na maji ya ----- tu kwisha habari yenu! hamna ata aja ya kutumia bomu za machozi au siraha za moto!
Ukiona maboss wako wamekaa kimya jiongeze., usitujazie server na kusumbua askari wa mitandao.
 
Kinachoniuma ni suala la watoto wangu kukua na kuikuta ccm madarakani.
 
polisi wetu wako tayari kwa lolote..ole wake panya ywyote aonekane analeta upuuzi
 
ImageUploadedByJamiiForums1446048400.839892.jpg
 
guys... inabidi tusiwa pressure hawa viongozi wetu... kipindi kama hiki wanatakiwa kua makini sana na statement zao na maamuzi ikiwemo ku tafakari impact yake.. hakuna mtu anataka kumwaga damu ya mwingine
 
Mkuu sisi tunadhulumiwa na kufanyiwa dharau na wewe unaona bado amani?
Miyoni kwetu moto unawaka na wewe unaona amani,kweli amani??

sasa c uandamane mwenyewe kwan mpaka utulilie humu?
 
Watangaze matokeo yao basi kama Maalim seif.
 
Sisi asilimia zaidi ya 60% ya watanzania tuliwaomba Lowasa agombee kupitia Ukawa,mkakubali na sisi tukafurahi tukafurahi sana.

Tukampigia kampeni,tukampenda,tukashawishi watu wampende na Tanzania ikaimba Lowasa,ikaimba mabadiliko!

Mimi najua tumeshinda huu uchaguzi na ninyi mnajua hilo.Nilisema sana humu juu ya kuwa na mpango mbadala na nikaelezea sana hulka na tabia za Kikwete.Utabiri ulikuwa wazi,wazi sana kwamba yanayotokea yangetokea!

Msizizike ndoto na matumaini yetu,msiwe na ustaarabu uliozidi,hii ni kazi chafu na hatuwezi kuifanya bila kuchafua mikono.

Maalim yuko peke yake na anafanya mambo,sisi tunashindwaje?
Vijana tuko tayari,mbona hamtoi neno la maana,mbona mnatudhalilisha jamani??

Vijana hawafanyi chochote kwasababu hamna operational statement.Mbowe uko wapi Mbowe?
Mbona nakuamini sana kamanda,mbona unasubiri mpaka mkondo wa maji utuzidi morali ife??

Fanyeni kitu jamani,ongeeni jambo viongozi wetu.

Jifanye kujitoa akili, ukihitajika utapatikana tu. Wenzio 192 walikuwa mpaka na wakorea walipomaliza ku update software ya uhalifu wakatambua kuwa " Ulipo tupo".
 
Mbona wameshasema hawakubaliani na matokeo? Hii inatosha kabisa.sio mpaka waseme tutoke barabarani!
 
Mkuu nakushauri upunguze munkari na ghadhabu za mkizi
kwani inakubidi ukumbuke kuwa "kuna maisha baada ya uchaguzi".

No sio kwa uchaguzi huu,sio Tanzania tena,watoto wangu ni wakiume,nikifyata mkia nikanyamaza ntakuja kuwaambiaje,ntakuwa na uhalali wowote wa kuwafundisha ujasiri?
Ntakufa nacheka ndugu yangu,na hata nikikamatwa kuteswa ntakuwa nacheka kwasababu ntakuwa sijausaliti moyo wangu.Nasubiria tu viongozi wangu.
 
Mi.nineamua tayari ctaki ujinga kabsa

Cwezi kuruhusu ujinga kutokea kwenye kura halali yangu kwenda kwingin
 
SIKIA ILI JINGA!
we ni Nyumbu namba moja Tz, yaani gorikipa wa manyumbu Tz!
Unataka tamko gani kwa mfano?
Ingia Road basi au msituni...
Tena nyumbu kama nyie serikari itawaogesha na maji ya ----- tu kwisha habari yenu! hamna ata aja ya kutumia bomu za machozi au siraha za moto!
Ukiona maboss wako wamekaa kimya jiongeze., usitujazie server na kusumbua askari wa mitandao.

I think kuna haja ya mamlaka kujihadhari na mambo wanayoyafanya kuepusha mihemko kama hii. Have U ever heard abt underground movements? I think tujikumbushe wasomali na wakenya.
Serikali inapaswa kuwa makini zaidi na matendo yao kuepusha mhemko kama hii nashauri tu ewe askari wa mtandao ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom