Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
huu ni upumbavu wa mwendokasi
Si kosa baada ya uchaguzi kachangia wapi ?Hivi Mh Lowassa kutotoa michango ni kosa? N hoja ya kuijadili? Unataka yey atoe michango kila iitwapo Leo? Je unajua kama kaalikea kwenye harambee? Je,ni lazima awatangazie kwamba katoa mchango?
We umewahi hata kuchangia kwenye harambee yeyote ama kupayuka maneno tu?
Unataka ujibiwe vp?! Mtu mzima Kuwa na Akili isiyokua na akili ni janga la karne!Mzee mamvi vp mbona harambee zimekwisha au pochi la Masai kwishney?
malisa kilaza wa nn sasa kwa mfano mi mtu nlompita matokeo ni kilaza tu kama wewe na huyo unamsubiri
Lowasa aliingia kichwakichwa kwa mfalme Mbowe akaliwa kila kitu, ameuza hadi Nyumba..Hivi Mh Lowassa kutotoa michango ni kosa? N hoja ya kuijadili? Unataka yey atoe michango kila iitwapo Leo? Je unajua kama kaalikea kwenye harambee? Je,ni lazima awatangazie kwamba katoa mchango?
We umewahi hata kuchangia kwenye harambee yeyote ama kupayuka maneno tu?
Urais mtamu bwana fitna lazima ziwepo mtu kachangia makanisa na misikiti miaka kadhaa alafu tukalitia pancha Basi la safari ya matumaini hata ubungo halijatoka mchezoUnataka ujibiwe vp?! Mtu mzima Kuwa na Akili isiyokua na akili ni janga la karne!
hata ujumbe wa NEC chali kwa wenzetu kapewa zawadi.Hao madogo hawajielewi kabisa.
Mmoja kakataliwa kwao Dongobesh hakomi inshort aligaragazwa mbaya
hata ujumbe wa NEC chali kwa wenzetu kapewa zawadi.