Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Mbunge wenu lazima afukuzwe kazi nyani weHilo limeshangaza wengi hapa Bumbuli...
Mbunge wenu lazima afukuzwe kazi nyani weHilo limeshangaza wengi hapa Bumbuli...
Aipate wapi huyo ndumilakuwili?kutwa kucha ni kugema tembo tunyie kina na nihihii mmetoa bei gani tujuze kazi umbeya tu unawaweka mjini hapa jitu zima eti milioni tano ndogo wewe unayo
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, kisa?kuwadhibiti wapinzani wasiingie ikulu kugundua wizi uliofanywa na familia yake?Anajisumbua maana ndio tunaanza na udaHeri yao hawa walio toa mil 5 kusaidia hospitali. Vipi yule aliye nunua magari 779 ya washawasha?
Nina uhakika hajawai kuishika kabisaMtoa mada hivi milioni unajua ina sifuri ngapi baada ya namba tano..!!? Huenda tunaongea na mtu ambae hajui hata kuiandika achilia mbali kuishika..!! Acheni dharau kwa watu wanaojitolea kusaidia wengine. Kuna watu wanasema amepeleka pampas,pampas za milioni 5 hapo morogoro si angekusanya mtaa mzima!! Hakuna mfanyabiashara mwenye pampas za milioni 5 morogoro. Me nna duka la pampas tupu tandika,lkn mtaji haufiki milioni 5 na duka limejaa..!!! Mtu hujawahi kushika hata laki 3 unadharau milioni 5???
mihela yote hiyo mil tano kweli?Aipate wapi huyo ndumilakuwili?kutwa kucha ni kugema tembo tu
Wewe tunakujua kwa kutumia ugoro sana hivyo hautusumbui kiwaviKati ya mwaka 2011 hadi 2015 kulikuwa na changizo katika taifa lote, miskitini na makanisani. Katika kila Harambe ilikuwa lazima utasikia Mgeni wa heshima ni Lowassa. Akifika anasema nimechangiwa na marafiki zangu, mwisho anaweka milioni kadha.
Hali hii ilimfanya Lowassa aonekane kama "mtu wa watu". Akavuma nchi zima. Akateka mikoani na wilayani.
Mwaka huu, sijasikia tena akienda kuchangia tena.
Tunajifunza nini juu ya harakati zake?
Ina maana makanisa na miskiti haiitaji tena michango yake?
Nini tofauti ya watoa misaada wa nje na wa ndani?
Kwani milion 5 ni hela ndogo nyie magamba mmetoa ngapi acha madharau . Kuna hospital nyingi zinahitaji msaada kama huo . Hongera sana Mama Regina Lowasa. Mungu akuzidishieLeo katika taarifa ya habari ya ITV imeoneshwa M/Kiti wa BAWACHA-Taifa Halima Mdee akiwa na Mama Regina Lowassa wametoa shilingi milioni 5 katika Hospitali ya Morogoro.
Hio pesa ni ndogo sana kwa watu ambao wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi walikuwa wakitoa mamilioni ya pesa.
Mke wa Lowassa kufunga safari kutoka Monduli hadi Morogoro kwenda kutoa shilingi milioni 5 ni kuonesha mamilioni aliokuwa akiyamwaga Lowassa yameisha?.
Mla viwavi utamjua tu kwa kauli zake za kijingamihela yote hiyo mil tano kweli?
Frankly speaking nami nilishangaa mnoo kwa kweli! Hawa ndio waliokuwa na nia ya kuwasaidia wananchi? Kuna suala la matatizo ya madawati hawa UKAWA hivi wamefanya nini zaidi ya kugombea Umeya wa DSM?!?!?!hata mie nimestuka sana genge lote lile tena likiwa na mama lowasa kubebelea pampasi za mil tano kweli?
hela ndogo / kubwa inategemea anatoa naniKwani milion 5 ni hela ndogo nyie magamba mmetoa ngapi acha madharau . Kuna hospital nyingi zinahitaji msaada kama huo . Hongera sana Mama Regina Lowasa. Mungu akuzidishie
Soma alama za nyakati mkuuuhela ndogo / kubwa inategemea anatoa nani
kwa mtu kama Regina hiyo ni hela ya saloon kwa siku moja
kumbuka hawa kwenye harambee walikuwa wanatoa hadi tsh 200M
we nitukane tu, ila heshima ya mama imeshuka sana, inaonekana mzee keshastika kagoma kutoa mkwanja.Mla viwavi utamjua tu kwa kauli zake za kijinga
we nitukane tu, ila heshima ya mama imeshuka sana, inaonekana mzee keshastika kagoma kutoa mkwanja.
malisa kilaza wa nn sasa kwa mfano mi mtu nlompita matokeo ni kilaza tu kama wewe na huyo unamsubiriHaya ngoja waje kina Ben Saanane na Malisa, ulipo tupo, friends of el, teams el na wengineo