Ccm kw kujipa moyo
Piiipoooooo
Mgombea wa urais kupitia Chadema amezidi kupata wakati mgumu, hasa baada ya maelfu ya wana CHADEMA kuendelea kukimbia chama hicho na kujiunga na CCM.
Hata hivyo, bado maelewano yake na mgombea mwenza wake yamekuwa ni madogo, hali inayozidi kudhoofisha uwezo wake.
Huyo mama Samia mmemtelekeza kabisaa sijui mfumo dume utawapeleka wapi!
Mnajitekenya na kucheka wenyewe.... Leo anatua Mkoa wa Mara....
Mara ni mikoa ambayo Lowassa atashinda kwa asilimia 90..... Kule ni vitha ni vitha Mura
Tatizo la kuleta mada ukiwa chooni unasahau kuchamba...
Kamalizie kimbowe (kiroba)Hahahahaha nilizani umu kuna ccm mwenye akili timamu katika kuangalia kwenye dirisha la chumbani kwangu nikagundua nimazombie yamevamia Jf kwa binadamu wenye akili hahaha mnavamia vampire etie nyie zombie's Wa ccm
Fisadi mmoja aliyevaa ngozi ya kondoo ..hapa kazi tu