japo simpendi point yake yakuacha maandamao na uanaharati ni sahihi!!huwezi kuendekeza maanadamano na uanaharakati katika nchi yenye Uhuru ,mahakama,na democrasia!!ni muda Wa watu kufanya Kazi!! maandamano yanachelewe na uanaharakati yanachelewesha maendeleo ya watu na nchi kuwa ujumla