Lowassa kwa sasa CHADEMA ni jipu, litumbuliwe

assadsyria3

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
6,905
4,054
Mimi simkubali Mh Magufuli, na hata policy zake hivi sasa am done. but I chose Lowassa kwani there was no option.

Lowassa alidai mwenyewe akihojiwa na BBC Swahili kuwa baada ya uchaguzi ataenda kuchunga mbuzi, sasa mbona bado yupo Masaki?

Lowassa alikubaliwa kwa sababu ya popularity na kuchokwa kwa kiasi kikubwa kwa CCM na si kwa sababu ya political integrity.

Mpaka leo hajaweka wazi ushiriki wake katika ufisadi wa Richmond amebaki kusema mwenye ushahidi aende mahakamani, tuliaminishwa kuwa akija CHADEMA atasema ukweli wote what is Richmond na uhuska wake kstika sakata iyo, he never did.

Kusema CHADEMA iache harakati ni usaliti na dhambi kubwa kisiasa. CHADEMA imeundwa kiharakati na kiukombozi wa haki za raia, watu wamekufa, wameteswa,wameonewa, wamebaki vilema wakidai haki leo huyu mvaa suti na mashati ambaye hata hajawahi vaa gwanda maisha yake yote, aseme vueni magwanda. This is insult.

The time for Edward Lowassa has passed, is just a history. CHADEMA amkeni tafuteni new blood for the next contest. Lowassa hana tena political future.

Huu mchezo hautaki hasira, fanyeni evaluation enyi viongozi wa CHADEMA

Sema ukweli hata kama unauma, kwani kweli itakuweka huru.

Lowassa kwa sasa CHADEMA ni jipu, litumbuliwe
 
haiwezekani, mnaonewa mkae kimya kutoka bungeni ni harakati, maandamano ni harakati,bavicha kwenda Dodoma ni harakati how come huyu jamaa aseme harakati zife sikubaliani.

what about blood of mwangosi
what about blood of arusha bombing
what about mawazo
what about kubenea? almost lost his eyes
what about killing in morogoro
 
Wewe ni mtanzania kweli!?.
Polisi, PCCB, Usalama wa taifa na mahakama vipo chini ya serikali ya ccm. Kama unataka awajibishwe wakufanya hivyo ni ccm sio CDM
 
Hongera kwa kuwa muwazi...lakini napingana na wewe kwenye sababu inayokufanya umuite lowasa ni jipu...yaani umeitumia kauli yake ambayo mimi naweza kuiita ni kauli ya kiungwana kumuhukumu.

Muhukumu kwa madhaifu yake mengi aliyonayo lakini sio kauli hii ya jana...

"CHADEMA YA SASA NI JAMII YA KAMBALE"
 
time has passed we have to raise our voice, we cannot leave away revolution ideas,mapambano bado yaendelee kumtoa mkoloni mweusi madarakani
 
time has passed we have to raise our voice, we cannot leave away revolution ideas,mapambano bado yaendelee kumtoa mkoloni mweusi madarakani

Kuwa mkweli, unataka Magufuli aondoke na sio CCM maana kabla ya majipu ya TRA na bandari kutumbuliwa ulikuwa unaimba CCM mpaka mishipa inakutoka. Wewe na Lowassa hakuna tofuati... mnatumia siasa kujinufaisha.
 
Kuna kaukweli, kuacha harakati tubaki sasa sijui tunafanya nini??? Hata mimi naanza kuamini huyu jamaa anatekeleza siasa za Pombe kwamba CDM iwe kimya mpaka 2020. Hili sio sawa!
 
Mimi simkubali mh Magufuli, na hata policy zake hivi sasa am done. but I chose Lowasa kwa there was no option.

Lowasa alidai mwenyewe akihojiwa na BBC Swahili kuwa baada ya uchaguzi ataenda kuchunga mbuzi, sasa mbn bado yupo masaki?

Lowasa alikubaliwa kwa sababu ya popularity na kuchokwa kwa kiasi kikubwa kwa ccm na si kwa sababu ya political integrity.

Mpk Leo hajaweka wazi ushiriki wake katika ufisadi wa Richmond amebaki kusema mwenye ushahidi aende mahakamani, tuliaminishwa kuwa akija chadema atasema ukweli wote what is Richmond,na uhuska wake kstika sakata iyo, he never did.

Kusema Chadema iache harakati ni usaliti na dhambi kubwa kisiasa. Chadema imeundwa kiharakati na kiukombozi wa haki za RAIA, watu wamekufa,wameteswa,wameonewa,wamebaki vilema wakidai haki Leo huyu mvaa suti na mashati ambae hata hajawahi vaa gwanda maisha yake yote ,aseme vueni magwanda. This is insult.

The time for Edward Lowasa has passed, is just a history. Chadema amkeni tsfuteni new blood for the next contest. Lowasa hana tena political future.

Huu mchezo hautaki hasira, fanyeni evaluation enyi viongozi wa chadema

Sema ukweli hata km unauma, kwani kweli itakuweka huru.

Lowasa kwa sasa chadema ni jipu,litumbuliwe
Mbona hata hueleweki au ni mmoja kati ya wale tunao wapiga marufuku kwa kutumika vibaya????
 
thubutu!!!!mna ubavu Wa kumfukuza!???labda mtumie mandamano na uanaharakati wenu!!japo napo itawagarimu sana!!
 
Back
Top Bottom