Kweli mkuuUmeshaanza umbea wako
Jamaa anaonewa sanaa
Kweli mkuuUmeshaanza umbea wako
People's power we cares..Who Cares?
Lowassa chama cha majipu kinakuogopa sana.Angalia uchwara asije akakuua maana amechanganyikiwa
Sawa gigy moneyLowasa anazungumza na Taifa ama anazungumza na Tido Mhando kupitia Azam Two? Acheni kujitowa ufahamu, Lowasa hana wadhifa wowote kiasi cha kusema anaongea/anahutubia taifa, yeye na Dovutwa au Hashim Rungwe ni sawa sawa.
Ras Simba anakuhusu.People's power we cares..
Anayemuunga mkono Lowasa akapimwe akili ~~~ MsigwaWatanzania wengi watakuwa wanamsubiri kwa hamu kubwa sana kumsikia Mhe.Edward Lowasa akiongea na watanzania kupitia kituo cha TV Azamu 2 kuanzia saa tatu asubuhi asante sana kwa taarifa mkuu Molemo
If you won't care trees and stones will care so shut up!!!!! He is charismatic leader and we follow him with one Heart!!!! Lowassa live long lifeWho Cares?
Mkuu umeniita... Nimeitika wito wako. Sema NakuskizaWho Cares?