Lowassa kusulubiwa vikali kwenye mdahalo

Lowassa kusulubiwa vikali kwenye mdahalo

TV Debate au maigizo ya usanii wa CCM? Vioja vinaendelea
 
Hivi haiwezekani kura yangu kwa Lowasa ikatangulia NEC mapema ili niweke rekodi ya kuwa mtanzania wa kwanza kupiga kura ya ndio kwa rais wa awamu ya tano.
 
soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa uraisi.
imagine mh. lowasa kwenye debate huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. magufuli, bibi ana mughirwa wako vizuri

option
kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like mbowe,mbatia ama lissu.

sema ukweli hata kama unauma
Kweli hujielewi kabisa, pale wanaongea ILANI siyo kushindana kwa kombolela. Haina haja kuongea kwa sauti kubwa ukafikiri unashawishi bali hata maneno mawili yenye mguso kwa wananchi na msikilizaji.
 
Mbona mwaka huu mnakiherehere na mdahalo?
 
Soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa urais.

Imagine Lowassa kwenye mdahalo huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. Magufuli, Mamana Mughwira wako vizuri

Option
Kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like Mbowe,Mbatia ama Lissu.

Sema ukweli hata kama unauma.
.. Kama kuna magombea wa urais atakwepa mdahalo basi atakuwa ametunyima haki ya kumhoji juuya dhamira yake ya kutaka kuwa kiongozi wetu. Hali hii itatupa mashaka juu ya uwezo wake wa kuelezea, kupambanua au kuamua mambo ambayo ni changamoto za kila siku kwenye ofisi hio kubwa kwenye nchi yetu!. Atakuwaje Amiri jeshi Mkuu kama hawezi kuongea na wananchi wake sembuse makamanda wakati wa vita?? .. Mdahalo lazima ili tujue nani kondoo na nani mbwa mwitu!!.
 
Kweli hujielewi kabisa, pale wanaongea ILANI siyo kushindana kwa kombolela. Haina haja kuongea kwa sauti kubwa ukafikiri unashawishi bali hata maneno mawili yenye mguso kwa wananchi na msikilizaji.
Really??.. utaelezea wananchi ajenda ya maendeleo yako kwa maneno mawili na kuyafanyia kazi mika mitano kwa vipindi vya dakika kumi kumi???
 
Mdahalo kitu gani!! wa nini,kama wanasheria wanasema wanaushahidi wa ufisadi wake na hawamfungulii kesi!! CCM OUT
 
Rais atafungua bunge kwa hotuba ya dakika tano? Eti maneno yenye mvuto. Rais utahutubia UN kwa Dakika 5. Acheni masihara ninyi hata kama mna mahaba naye si kihivyo. Rais ni lazima aonyeshe uwezo wa kueleza kwa kina kile achoamini.
 
Rais atafungua bunge kwa hotuba ya dakika tano? Eti maneno yenye mvuto. Rais utahutubia UN kwa Dakika 5. Acheni masihara ninyi hata kama mna mahaba naye si kihivyo. Rais ni lazima aonyeshe uwezo wa kueleza kwa kina kile achoamini.
Haina haja ya kutumia masaa mengi kwa kitu cha kueleweka kwa dk.5,Lowassa atosha.
 
Ha ha ha ha ha ha ha! Fisadi wenu mwaka huu ataata maana hata kusimama ni shida.

fisadi wetu?sawa;
1.andrew chengen
2.rostam azizia
3.william ngeleya
3.first son
4.first father
5.ezekiel maigo
6.february mauzi
7.John Kilevi Padlock
the list goes on and on and on .ni wana cco wote hao.hauwaoni?wewe itakua unalipwa 50 kwa siku sababu unahangaika na ccm sana.
 
Mdahalo ccm wamekuwa wakikimbia kila mwaka imekuwaje mwaka huu?

Ccm mmeshachemsha lowassa hana muda wa kupoteza
 
Mzee wa sound anaongeeaaa weee. for 2 hrs. Alafu anchukua pipa huyoo USA au Mara Jamaika au Spain. anakamata Mavituzzz. Akirudi anawapa singo nyingine.
huku bei mafuta inapaa.bei ya Unga.Kiberiti na dola zoote zinapanda.
Kwa kwelu mimi simuamini tena kiongozi muingeaji.bora nisikie speech ya Dakika 15 .baada ya hapo nione majibu tu
bei ya unga inashuka au kubaki palepale.bei mafuta ishuke etc.
Inakuwaje bei ya petroli zambia/rwanda/burundi iwe sawa au chini ya Tz wakati mafuta yanapitia hapahapa tz.
Tafakari na Uchukue hatua stahiki. trna wanamgao wa Umeme nchi nzima...... Aibu ya Uongozi
 
Mdahalo ccm wamekuwa wakikimbia kila mwaka imekuwaje mwaka huu?

Ccm mmeshachemsha lowassa hana muda wa kupoteza

Kama wanataka midahalo wakubali ianzie majimboni tuwavue nguo hawa wagombea wao!!
 
fisadi wetu?sawa;
1.andrew chengen
2.rostam azizia
3.william ngeleya
3.first son
4.first father
5.ezekiel maigo
6.february mauzi
7.John Kilevi Padlock
the list goes on and on and on .ni wana cco wote hao.hauwaoni?wewe itakua unalipwa 50 kwa siku sababu unahangaika na ccm sana.

ongeza na wengne,,,,,,,,,,,, HAPA KAZI TU!
 
kimtazamo ccm ndio hawataki mdahalo na lowassa,kwa sababu point kubwa ya mdahalo itakuwa ufisadi na wao ccm wanaitumia ufisadi ki-propaganda tu kwa kupatia kura,wanaogopa lowassa kutiririka nondo za ukweli wa jambo hili katika national tv mbele yao na umati wa watanzania,huo utakuwa ndio mwisho wa ccm,

wao wanaelewa, kama kweli lowassa ni fisadi wangelikwisha mvuruga sana sasa hivi kisheria mpaka kumpeleka mahakamani na kumueka gerezani pengine ili kuunusuru ushindi,lowassa ndio tishio lao kubwa kwa muda huu kwa hio wangekwisha mmaliza,lakini badala yake wanaongea ongea tu majukwaani ni propaganda tupu

Fisadi ambae ni fisadi wa kweli hawezi kuihama ccm akawa against nao na kuwa mpinzani na akanusurika.
 
Back
Top Bottom