Lowassa kusulubiwa vikali kwenye mdahalo

Lowassa kusulubiwa vikali kwenye mdahalo

kwani ile midahalo ambayo ilikuwa inaendeshwa na tiddo mbona CCM walikuwa wanaikimbia ila hukuja kuandia uzi au ulikuwa bado ujajiunga JF,?
 
Kushiriki mdahalo hakuna uhusiano moja kwa moja na uwezo wako wa kutekeleza unayoyaahidi,kumbuka kuongea ni talent,na si ya kila mtu!,KUMBUKA DAVID CAMERON WA WINGEREZA ALIKIMBIA MDAHALO UCHAGUZI ULIOPITA NS BADO ALIPITA KWA KISHINDO!.

Hacha mbwe mbwe,kwa hadi zisizowezekana mdahalo ndio kipimo,wakujua ukweli na uovu wawagombe kwa wazi
 
Jamaa wana wakati mgumu....wanashangaa mtu anayeongea dakika 9 anavyomake headlines
 
Mwisho wa siku jamaa atawaambia kama mna ushahidi wa tuhuma za ufisadi nendeni mahakamani.
 
assadsyria debate za wagombea urais wanakaa kwenye viti na wanavalishwa mic hivyo wataongea wakiwa wamekaa. mada elekezi ndiyo itakayouliziwa maswali kwa hiyo hutapata fursa ya kutumwa na ccm kuleta maswali majitaka. option unayotoa kampe magufuli manake ikija mada ya utawala bora mimi nitamuuliza kuhusu mikataba anayovunja inayoligharimu taifa kama ule wa meli ya samaki
soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa uraisi.
imagine mh. lowasa kwenye debate huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. magufuli, bibi ana mughirwa wako vizuri

option
kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like mbowe,mbatia ama lissu.

sema ukweli hata kama unauma
 
Ukiwa ndani ya serikali sio fisadi, ila ukitoka tu wewe ni fisadi, inachekesha sana!!

Ha ha akiwa nje ya Chadema Lowassa ni fisadi namba 1.
Akiwa ndani ya Chadema ni mkombozi..Mussa...mtume etc
 
kwani ile midahalo ambayo ilikuwa inaendeshwa na tiddo mbona CCM walikuwa wanaikimbia ila hukuja kuandia uzi au ulikuwa bado ujajiunga JF,?

inawezekana alikua hajajiunga na JF lkn ndo kusema unamshaur lowasa akimbie debate? ha ha haa CDM mwaka huu mmesimamisha mtu hata hajielewi
 
soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa uraisi.
imagine mh. lowasa kwenye debate huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. magufuli, bibi ana mughirwa wako vizuri

option
kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like mbowe,mbatia ama lissu.

sema ukweli hata kama unauma

Kwani jk alikwenda debate ipi vileee....nikumbushe kidogoo....
 
Ukiwa ndani ya serikali sio fisadi, ila ukitoka tu wewe ni fisadi, inachekesha sana!!

mbona lowasa fisad tangiapo data watoto wa kindagaten ukiuliza fisad wanakwambia lowasa... hata wabunge wa ccm ndio waliomuondoa, hata ccm walijua hvo kwan wangeamua Kumlinda kwa wingi wao asingedhurika na wapinzan
 
Samahani mleta uzi, nmejaribu kutafakar mada yako nkashindwa pata jibu!! is like umekurupuka ucngzin ukaanza andika!! embu tulien mda ufike tuone maana nakumbuka baba yenu jk alitoka nduki 2010...au mmesahau?? lowasa is the field work politician and not lopo lopo politician
 
soon zitaanza kwa wagombea mbalimbali wa uraisi.
imagine mh. lowasa kwenye debate huku anatetemeka na akipewa maswali magumu itakuwa hatari. magufuli, bibi ana mughirwa wako vizuri

option
kukimbia debates zote au kutuma mwalilishi like mbowe,mbatia ama liss

sema ukweli hata kama unauma

Hakuna haja ya mtu mwenye akili kuhudhuria mdahalo ulioandaliwa na mtu Kama wewe! Mbwiguke!
 
Kwani jk alikwenda debate ipi vileee....nikumbushe kidogoo....

Tabia za ccm zote zmehamia ukawa, hvi ninyi ndo mnasema mtambadilisha lowasa na ufisad wake? yeye ashawabadilisha tazama hata ufisad sio ajenda kwenu tena... nnalisubil kwa hamu bunge lijalo
 
Back
Top Bottom