Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Huyo Lowassa hata ikitokea miujiza kashinda urais sijuwi hotuba yake ya kwanza itakuwaje kuongea dk 10 hawezi manake hata gwaride la jeshi kufanya ukaguzi hataweza. Mungu amsaidie apate nguvu katika afya yake.