Nyie wafuasi wa ukawa mnastahili kwnda pumzshwa irente,lutindi na milembe walau miaka mitano,hv kwl na elimu zenu mnashkwa mackio na mbowe,mbatia,lowasa na sumae kwl ndg zng?vjn wa tz bdo kweikwei,nanyie wahitimu wa sekuco na patandi mko wapi msaidie hawa wateja wenu?ni vyema vjn tuungane na zito ndipo tutaipa msukosuko ccm,kule cdm kumenukaaaa......tutumie vyema akili na busara zetu.