Lowassa kusimamisha Kigamboni, Mbagala na Ukonga kesho

Lowassa kusimamisha Kigamboni, Mbagala na Ukonga kesho

sasa ocampo four inakuwaje unavunja kanuni ? inakimbilia saa 4 na ulisema mambo yanaanza saa 3 , mbona kimya bhana ?

Mambo yanakuja, wanaKigamboni wameonyesha kweli hawamtaki yule jamaa aliyewambia wapige mbizi
 
Dar siyo majimbo sita bali ni yote yanakwena ukawa na kwa upande wa madiwani safari hii tunaunda manispaa zote na jiji vya ukawa
 
Mbona hatupati updates jamani? Hivi hakuna kituo chochote cha TV kitakachorusha mkutano wa mchana???
 
Back
Top Bottom