Lowassa kusimamisha Kigamboni, Mbagala na Ukonga kesho

Lowassa kusimamisha Kigamboni, Mbagala na Ukonga kesho

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Washwahili wanasema "mtoto hatumwi dukani" kesho wananchi wa Kigamboni, Mbagala na Ukonga hawatadiriki hata kwenda dukani au kazini.... Wananchi hao wameonyesha kiu kubwa ya kumlaki jemedari wa mabadiliko Ndg. Edward Lowassa atakapokuwa na mikutano Kigamboni, Mbagala Zakeem na Ukonga...

Kwa mara nyingine Dar itasimama na shughuli kusimama kwa masaa kadhaa!.....

Muda... Angalia hapa chini tafadhali!..... Usithubutu kukosa...!
 

Attachments

  • 1442663018243.jpg
    1442663018243.jpg
    87.3 KB · Views: 2,800
  • 1442663040323.jpg
    1442663040323.jpg
    89.1 KB · Views: 2,343
  • 1442663054793.jpg
    1442663054793.jpg
    87.4 KB · Views: 2,247
Jaman wana Mabadiliko tuwe na Huruma kidogo
Haya Ma CCM yatatufia Mikononi Mwetu,Mengine ni Ma Ndugu na Majamaa zetu ya Katibu kabisa

Tena bwana Dar inatakiwa iongoze MABADILIKO HAYA, MIJI NA MIKOA MINGINE ITAFUATA. KAZENI BUTI TUNATAKA MAJIMBO KUANZIA 6 AU HATA7 HAPO DAR
 
Tena bwana Dar inatakiwa iongoze MABADILIKO HAYA, MIJI NA MIKOA MINGINE ITAFUATA. KAZENI BUTI TUNATAKA MAJIMBO KUANZIA 6 AU HATA7 HAPO DAR

Kwa Dar Mpaka sasa UKAWA tumekamata

KAWE
UBUNGO
SEGEREA
KIBAMBA
UKONGA
KINONDONI
ILALA
KIGAMBONI
TEMEKE

Ma CCM yamepotea katika ramani ya Dar
 
Ile kauli ya Pombe ya kwamba kama hauna shilingi mia tatu piga mbizi bila shaka anajutiaga sana maana wakati antoaga kauli hiyo alikuwa hana wazo la kwamba siku moja atakuja kuwa kwenye kinyang'anyiro kama hii!

ccm hawana lao

kaokote embe dodo kwenye mbuyu
 
Tena bwana Dar inatakiwa iongoze MABADILIKO HAYA, MIJI NA MIKOA MINGINE ITAFUATA. KAZENI BUTI TUNATAKA MAJIMBO KUANZIA 6 AU HATA7 HAPO DAR

Dar yanatakiwa majimbo YOTE!

Dar ya leo si ile uliyoijua!

IMEIVA KWA MABADILIKO KULIKO UNAVYOWAZA!
 
Back
Top Bottom