Washwahili wanasema "mtoto hatumwi dukani" kesho wananchi wa Kigamboni, Mbagala na Ukonga hawatadiriki hata kwenda dukani au kazini.... Wananchi hao wameonyesha kiu kubwa ya kumlaki jemedari wa mabadiliko Ndg. Edward Lowassa atakapokuwa na mikutano Kigamboni, Mbagala Zakeem na Ukonga...
Kwa mara nyingine Dar itasimama na shughuli kusimama kwa masaa kadhaa!.....
Muda... Angalia hapa chini tafadhali!..... Usithubutu kukosa...!
kitu kitaruka live kwenye tv station?
Dar yanatakiwa majimbo YOTE!
Dar ya leo si ile uliyoijua!
IMEIVA KWA MABADILIKO KULIKO UNAVYOWAZA!
Jamani lowasa ndivyo unavyodeka ivo ona kwenye picha anadekaaaaa kama mtoto mdogo loh kupendwa raha sana
Ikitokea hivyo mikoa mingine kitu gani bwana!!!???. Mji mkuu ukiwekwa kati hakuna kurudi nyuma.
Angalia nchi zote zilizofanya mabadiliko mambo huanzia mji mkuu kisha husambaa nchi nzima
Kuna misemo wa waswahili kuwa mtoto mkabidhi mchawi amlee. Safari hii naona kama jambazi sugu anakabidhiwa fuko la fedha alitunze siujui nani atamwibia?Ni jambazi sugu.
sisi kyela tumemaliza kazi kitambo sana , bendera za ccm kwa sasa zinatumika kwenye mashamba ya mpunga kwa ajili ya kufukuza ndege wadokozi wa mazao .Viva ukawa viva mabadiliko wana Dar es salaam sisi huku mwanza magamba tushayafuta kwenye ramani ya jiji kwa sasa yanatafutana mchana kwa tochi