Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Mr Hero

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
5,540
Reaction score
7,462
Tuliposema UKAWA wamechemsha wafuasi wametokwa povu, viongozi wa UKAWA wameliona hilo sasa wanataka kufidia hayo Lowassa atahutubia usiku huu saa 3 kupitia ITV.

Chanzo twitter account ya ITV
 
TAARIFA MUHIMU; Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa mfupi hawakupata fursa ya kusikia hotuba yote aliyopanga kuitoa leo Kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CHADEMA na UKAWA.
 
TAARIFA MUHIMU; Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa mfupi hawakupata fursa ya kusikia hotuba yote aliyopanga kuitoa leo Kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CHADEMA na UKAWA.

Acha upotoshaji baada ya kugundua ile website inachenga tupu, na baada ya watu kukosoa mpango wao kutaka waitafute kwenye website, haiwezekani muda kuwa mfupi wakati shughuli zilianza mapema mchana, sema movie yenu haina staring
 
Yaani katika cku ambayo nimeumia na kujickia vibaya ni Leo ..chadema imetutia aibu wanachadema ..haiwezekan lowasa atuambie mda hautoshi na huku huku tukiona akina tambwe ,mrema na wengine wakizungumza kwa mda mwingi kuliko hata lowasa
 
Lowasa hawezi kuhutubia. Wanataka kurudia mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliofanyika leo pale Jangwani
 
Yaani katika cku ambayo nimeumia na kujickia vibaya ni Leo ..chadema imetutia aibu wanachadema ..haiwezekan lowasa atuambie mda hautoshi na huku huku tukiona akina tambwe ,mrema na wengine wakizungumza kwa mda mwingi kuliko hata lowasa
Lowasa hana uwezo wa kuongea kwenye public. Anachoweza ni kufisidi tu
 
Baada ya kujikoroga
 

Attachments

  • 1440871238186.jpg
    1440871238186.jpg
    48.4 KB · Views: 1,572
Mda mfupi kwani asubuhi walikuwa wapi? Wamejichelewesha makusudi then wanadai mda ni Mdogo..wameniboa sana
 
kbosho kama kuna recorded speech tuwekeeni hapa JF tupakue na kujibalansia wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
TAARIFA MUHIMU; Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa mfupi hawakupata fursa ya kusikia hotuba yote aliyopanga kuitoa leo Kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CHADEMA na UKAWA.
Taarifa muhimu kama hizi zinapaswa kutolewa na Makene or somebody kwenye kitengo cha habari cha CHADEMA. Au nawe mwanaKibosho ni msemaji wa chama? Kwa nini kitengo cha habari cha CHDM kipo kama hakipo? What is going on?
 
jamani mtamuua bure lowasa,hawezi mtamchosha huyu mtu
 
tena anaweza kuboronga zaidi ya mchana.....

kama ni lazima kuhutubia basi wamchome cc 50 za adrenali labda zitasaidia
 
Back
Top Bottom