Nguruvi3, na wengine msiomuaminia EL, mimi ni miongoni mwa waumini wa set a thief to catch a thief, na kwanye nchi ya wachawi ambao hula watoto wadogo, ukitaka mwanao abaki salama, mkabidhi mchawi akulelee!.
EL ni mhanga wa kichapo cha kamati teule ya bunge hivyo ameshaumwa na nyoka, all this time hata kuomba uenyekiti wa kamati nyeti ya ulinzi na usalama was his quest to seek an opportunity to retaliate, hivyo sasa kama ndio amepewa rungu, he'll hit then hard where it hurt most!.
Nawaombeni sana wanabodi wenzangu, msihukumu kabla ili nanyi msije kuhukumiwa na wala usihukumu kesi mpya kwa makosa ya zamani.
EL fisadi ni yule EL aliyekuwa na uhakika baada ya JK ni yeye. EL aliyepewa uchunguzi wa meremeta ni EL mwingine ambaye anasubiria kusulubiwa na chama chake kwa kuvuliwa gamba. Huyu ni EL ambaye hana hata uhakika wa hatma yake ndani ya chama chake, in short he is destitute. In such a situation atafanya chochote kujiikoa na ili kuwa provia Watanzania kuwa kwenye Richmond alisingiziwa na kuonewa bure, kwenye hili, atafanya kweli and he'll really hit'em hard!.