Lowassa kavunja record, tumpe kura ya ndiyo

Lowassa kavunja record, tumpe kura ya ndiyo

12STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
1,190
Reaction score
409
Sifa zake ni nyingi tena sio za kumbomoa bali zinamjenga na kuzidi kukubalika katika jamii yetu Watanzania.

-HANA PUPA KATIKA UTENDAJI WAKE.
-NI MPOLE.
-NI MAKINI SAANA.
-HANA SIASA ZA MATUSI.
-ANA DHAMIRIA KWELI KUONDOA UMASIKINI WA WATANZANIA.
-Ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza KUIHAMA CCM.
amevunja mwiko,kaonyesha nje ya ccm bado kuna maisha sahihi na salama.

-ANA KIBALI CHA KUPENDWA NA WATANZANIA WENGI.
-UTENDAJI WAKE HULETA FAIDA KWA TAIFA LOTE NA SIO HASARA.

LOWASSA MABADILIKOOOOO!!!!! MABADILIKO LOWASSA.

USIFANYE AJIZI/KOSA MWAKA HUU CHAGUA LOWASSA NI CHAGUO SAHIHI KWA KIZAZI CHETU.

Puuza Propaganda na Vitisho wa CCM,Hakuna kura itakayoibiwa hivyo ukimpigia Lowassa KURA,pamoja na Wagombea Ubunge na Udiwani wanaotoka vyama vya CHADEMA,CUF,NLD NA NCCR-MAGEUZI {UKAWA} Utaleta Mabadiliko ya kweli katika Taifa letu.

Mimi na Familia yangu yooote KURA YANGU YA NDIYO NI KWA LOWASSA.
 
Hahahahahah

Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?

Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.
 
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.

Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.

Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.

Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!

The choice is yours!
 
Anayajua majizi yote ya nchi hii,na pia atasaidia kuleta maendeleo ya haraka nchini kwa kutumia raslimali zilizojaa kila kona ya nchi hii
 
Hahahahahah

Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?

Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.

Kwa lipi Lowassa kazidi Umasikini???
Ameacha Huo Uwaziri mkuu miaka 8 iliyopita,ufisadi wa Tegeta Escrow nani kaufanya?
Ufisadi wa Mabehewa mabovu ya treni ni nani??

Tatizo sio Lowassa ni Mfumo wa CHAMA CHA MAPINDUZI.
Kawadanganye waliokunywa maji ya bendera ya ccm.
Mwaka mtalia kilio cha samaki machozi hayaonekani.
Tatizo la umeme mpaka kesho halijamwlalizwa na MAGAMBA,kama mnavyokata umeme mtaani kama huo ndio utamu basii NAMI KURA YANGU ITATUMIKA KUWAKATA CCM KWENYE UCHAGUZI WA 25/10/2015.
 
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.

Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.

Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.

Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!

The choice is yours!

ccm angalau kwa geresha ama kwa kutuhadaa wamewapeleka Daniel Yona na Bazil Mraba Mahakamani,
Endapo kweli Lowassa ni Fisadi papa CHAMA CHA MAPINDUZI MNAPATA KIGUGUMIZA GANI kumshitaki LAIGWANI LOWASSA??
Hapa wenye akili tunang'amua LOWASSA NI MSAFI asiye na doa.
 
Naona 4 U Movement wanaanzisha sledi na kuchangia wenyewe...endeleenj kumpamba huyo fisadi dawayenu tutawanyweshwa tar 25 Oct
 
Edward Edward ndiyo ndiyo ndiyooooo £¥¥

mabadiliko mabadiliko ndiyo ndiyoo ndoyooo

Edward Edward ndiyoo ndiyoo ndiyoooo


ccm muibe na hiyo
 
12STONE

SIMBILISI WE!!!!!!!!!!!! hata adolf hitler alipendwa sn ujerumani, TENA NA WATU WOTE NA SI NA BAADHI YA WATU KAMA LOWASSA ANAVYOPENDWA NA WANACHADEMA (maana najua hayuko mioyoni mwa wanacuf na wananccr-mageuzi, wanaenda tu kwenye mikutano sababu ya mkono wa chuma uliopo huko vyamani kwao), lakini leo hii ukimtaja adolf mbele ya wajerumani unaweza kupokea kichapo kikali sn kwa madudu aliyoyafanya hawataki hata kumsikia.

kwa historia ya lowassa, utampa kura wewe tu na masimbilisi wengine wachache wasiojielewa. nina hakika hata hiyo familia yako iliyokuahidi kuwa itampa kura imekudanganya....ee namaanisha huyo mkeo hatampa kura, amekudanganya kama alivyokudanganya kuwa huyo mtoto wa kwanza ni wako!!
 
Last edited by a moderator:
Sifa moja kubwa zaidi ya Lowassa ni fisadi papa.

Sababu kuu ya matatizo ya Tanzania ni kuwa na viongozi aina ya Lowassa.

Kama tunataka matatizo ya Tanzania yaendelee kuwepo basi hatuna budi tumpe kura za ndiyo Lowassa ili awe Rais wa Tanzania.

Ni vizuri tumpe kura ya ndiyo Lowassa ili avunje record ya kuwa Rais wa Tanzania ambaye ni fisadi papa!

The choice is yours!
Atakuwa wa tatu baada ya Mkapa na jk wote ni mafisadi.
 
Kavunja rikodi ya kuwanunua wachagaa. No doubt.

Mie nilifikiri Mmasai hana ujanja kwa wachagga, kumbe ujanja wake ni mdogo sana, pesa tu.
 
Hahahahahah

Alikuwa mtendaji Mkuu wa Serikali kwa miaka miwili aliuondoa umasikini wa nani?

Mimi nnaona alituzidishia tu umasikini, akashtukiwa.

Alikua akitumikishwa na chama cha mafisadi CCM
 
Lowassa ni mvumilivu sana
Lowassa anayajua majizi yote makubwa na madogo Nji hii
Lowassa na Sumaye wanaujua fika udhaifu Wa Lodi Loffa na Mbayuwayu na Magamba wote




QUOTE=12STONE;14038061]Sifa zake ni nyingi tena sio za kumbomoa bali zinamjenga na kuzidi kukubalika katika jamii yetu Watanzania.

-HANA PUPA KATIKA UTENDAJI WAKE.
-NI MPOLE.
-NI MAKINI SAANA.
-HANA SIASA ZA MATUSI.
-ANA DHAMIRIA KWELI KUONDOA UMASIKINI WA WATANZANIA.
-Ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza KUIHAMA CCM.
amevunja mwiko,kaonyesha nje ya ccm bado kuna maisha sahihi na salama.

-ANA KIBALI CHA KUPENDWA NA WATANZANIA WENGI.
-UTENDAJI WAKE HULETA FAIDA KWA TAIFA LOTE NA SIO HASARA.

LOWASSA MABADILIKOOOOO!!!!! MABADILIKO LOWASSA.

USIFANYE AJIZI/KOSA MWAKA HUU CHAGUA LOWASSA NI CHAGUO SAHIHI KWA KIZAZI CHETU.

Puuza Propaganda na Vitisho wa CCM,Hakuna kura itakayoibiwa hivyo ukimpigia Lowassa KURA,pamoja na Wagombea Ubunge na Udiwani wanaotoka vyama vya CHADEMA,CUF,NLD NA NCCR-MAGEUZI {UKAWA} Utaleta Mabadiliko ya kweli katika Taifa letu.

Mimi na Familia yangu yooote KURA YANGU YA NDIYO NI KWA LOWASSA.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom