12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,190
- 409
Sifa zake ni nyingi tena sio za kumbomoa bali zinamjenga na kuzidi kukubalika katika jamii yetu Watanzania.
-HANA PUPA KATIKA UTENDAJI WAKE.
-NI MPOLE.
-NI MAKINI SAANA.
-HANA SIASA ZA MATUSI.
-ANA DHAMIRIA KWELI KUONDOA UMASIKINI WA WATANZANIA.
-Ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza KUIHAMA CCM.
amevunja mwiko,kaonyesha nje ya ccm bado kuna maisha sahihi na salama.
-ANA KIBALI CHA KUPENDWA NA WATANZANIA WENGI.
-UTENDAJI WAKE HULETA FAIDA KWA TAIFA LOTE NA SIO HASARA.
LOWASSA MABADILIKOOOOO!!!!! MABADILIKO LOWASSA.
USIFANYE AJIZI/KOSA MWAKA HUU CHAGUA LOWASSA NI CHAGUO SAHIHI KWA KIZAZI CHETU.
Puuza Propaganda na Vitisho wa CCM,Hakuna kura itakayoibiwa hivyo ukimpigia Lowassa KURA,pamoja na Wagombea Ubunge na Udiwani wanaotoka vyama vya CHADEMA,CUF,NLD NA NCCR-MAGEUZI {UKAWA} Utaleta Mabadiliko ya kweli katika Taifa letu.
Mimi na Familia yangu yooote KURA YANGU YA NDIYO NI KWA LOWASSA.
-HANA PUPA KATIKA UTENDAJI WAKE.
-NI MPOLE.
-NI MAKINI SAANA.
-HANA SIASA ZA MATUSI.
-ANA DHAMIRIA KWELI KUONDOA UMASIKINI WA WATANZANIA.
-Ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza KUIHAMA CCM.
amevunja mwiko,kaonyesha nje ya ccm bado kuna maisha sahihi na salama.
-ANA KIBALI CHA KUPENDWA NA WATANZANIA WENGI.
-UTENDAJI WAKE HULETA FAIDA KWA TAIFA LOTE NA SIO HASARA.
LOWASSA MABADILIKOOOOO!!!!! MABADILIKO LOWASSA.
USIFANYE AJIZI/KOSA MWAKA HUU CHAGUA LOWASSA NI CHAGUO SAHIHI KWA KIZAZI CHETU.
Puuza Propaganda na Vitisho wa CCM,Hakuna kura itakayoibiwa hivyo ukimpigia Lowassa KURA,pamoja na Wagombea Ubunge na Udiwani wanaotoka vyama vya CHADEMA,CUF,NLD NA NCCR-MAGEUZI {UKAWA} Utaleta Mabadiliko ya kweli katika Taifa letu.
Mimi na Familia yangu yooote KURA YANGU YA NDIYO NI KWA LOWASSA.