Lowassa kalonga saa mbili leo hii TBC1 Habari

kweli nimeamin Edward Lowassa anaspeed ya ajabu. Nadhani this time huko kwenye vikao vya NEC atatema cheche za ajabu, lazima amdindie mkuu wa kaya!
 
hakuna wa kumng'oa lowassa CCM kwan hata hao wanaotaka kumng'oa nao pia sio wasafi, hakuna msafi hata mmoja ndani ya CCM tena bora huyo lowassa kuna wachafu zaidi yake na pia si watendaji kama lowassa, nafsi zinawasuta kwa kuwa wamepewa vyeo katika nchi hii lakini hawajjafanya llolote,> Magamba mpo hapo. Mwacheni lowassa atese anavyotaka kwa kuwa huo mfumo wenu ndo uliowafikisha hapo mlipo na si kumlaumu Lowassa kila mara kwan yuko peke yake. Mpo kibao tu amabo mna sifa chafu na mnastahili kuondolewa katika nyadhifa zenu
 
Hayo ndio yangekuwa maamuz magumu,kuanzia chamani.........na si vinginevyo,kama wana ubavu wangewamimina
 
mh. Edward Lowasa anasema anafurahi kuona mjadala alioibua hapo awali sasa umeanza kuzua mjadala. Anasema ni wakati kwa watanzania kufanya tathimini kila mtu amefanya nin! Nb. Majadala wenyewe ni kuhusu SERIKALI KUSHINDWA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU!
 
Hii inaonyesha kuwa sasa amemshika pabaya Rais, na kufuta rasmi usemi wake kuwa 'U-rais wangu hauna ubia na mtu', anajua kucheza na maneno tu na kujikaza kisabuni kuwa ameanzisha mjadala na kumbe mjadala umemshika yeye. Anatumia turufu nyingine kuwateka watu wanaomchukua kuacha kujadili kwa kusema hayo ili wajue kuwa wanaocheza na mjadala wa 'Maamuzi Magumu' wanamjenga Lowassa. Mbinu nyingine hii ya kisiasa lakini haitamsaidia.
 
Kaa Kimya,wewe ni miongoni mwa wanamagamba wanaolipwa buku mbili kwa siku kuchafua CDM,How come umejoin may lakini una-post 2001,Mpaka mda huu 10:39 PM 11/07/2011..Wang'olewe tu,wanyonyaji wakubwa hawa
kati ya vilaza bora humu nawewe umo.! Ntakuambia in pm
 
ilikuwaje mpaka akatoa kauli hiyo jana hapo tbc?

lakini pia ccm hawamuwezi kabisa..........
 
ilikuwaje mpaka akatoa kauli hiyo jana hapo tbc?lakini pia ccm hawamuwezi kabisa..........
Hapo mkuu mwandishi hatukuckia swali alomuuliza lakn it seems mwandishi alitaka kujua maelezo juu ya serikali kutokuchukua maamuzi magumu ndio maana alisema na alisema kwa ufupi sana maelezo yake bwana Lowasa
 
Hii inaonyesha kuwa sasa amemshika pabaya Rais, na kufuta rasmi usemi wake kuwa 'U-rais wangu hauna ubia na mtu', anajua kucheza na maneno tu na kujikaza kisabuni kuwa ameanzisha mjadala na kumbe mjadala umemshika yeye. Anatumia turufu nyingine kuwateka watu wanaomchukua kuacha kujadili kwa kusema hayo ili wajue kuwa wanaocheza na mjadala wa 'Maamuzi Magumu' wanamjenga Lowassa. Mbinu nyingine hii ya kisiasa lakini haitamsaidia.
True Fred
 
Katika hali ya kushangaza EL amesema amezua mjadala juu ya serikali kushindwa kuchukua maamuzi magumu kwa hyo wananchi wataamua juu ya kauli yake.

kambi ya X-CCJ tunataka majibu tafadhali..!!!
 
Hii inaonyesha kuwa sasa amemshika pabaya Rais, na kufuta rasmi usemi wake kuwa 'U-rais wangu hauna ubia na mtu', anajua kucheza na maneno tu na kujikaza kisabuni kuwa ameanzisha mjadala na kumbe mjadala umemshika yeye. Anatumia turufu nyingine kuwateka watu wanaomchukua kuacha kujadili kwa kusema hayo ili wajue kuwa wanaocheza na mjadala wa 'Maamuzi Magumu' wanamjenga Lowassa. Mbinu nyingine hii ya kisiasa lakini haitamsaidia.

wanajuana wale wewe.
 
Hii inaonyesha kuwa sasa amemshika pabaya Rais, na kufuta rasmi usemi wake kuwa 'U-rais wangu hauna ubia na mtu', anajua kucheza na maneno tu na kujikaza kisabuni kuwa ameanzisha mjadala na kumbe mjadala umemshika yeye. Anatumia turufu nyingine kuwateka watu wanaomchukua kuacha kujadili kwa kusema hayo ili wajue kuwa wanaocheza na mjadala wa 'Maamuzi Magumu' wanamjenga Lowassa. Mbinu nyingine hii ya kisiasa lakini haitamsaidia.
Sio kumshika pabaya tu, kama ni mchezo basi EL anajua kuucheza vyema!
 
huu wimbo wa lowassa umeanza kuchosha masikio...wamfukuze au waendelee kumbeba.
Hawana ubavu wa kumfukuza, Edward Lowassa Anajua afanyalo, anajua kuzichanga karata zake vizuri, kwa dalili nizionazo, ni yeye ndie atawafukuza wengine chamani!
 
lowasa anakaribia kunyakua kombe dhidi ya mpinzani wake jmk!

wanajavini wenzangu siku 90 zimekwisha na mapacha hawajatimuliwa ni ukweli na ushahidi usiopingika kwamba ccm na serikali yake imeshindwa kutekeleza maagizo yake yenyewe. Hivyo basi kwa asilimia zaidi ya 80 edward lowassa ni rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania.

Wamarekani wanamsemo kwamba
"ukiweza mpige ukishindwa ungananae"
 
Back
Top Bottom