Lowassa kakosea, why now?

Lowassa kakosea, why now?

Lowasa kapewa "charm offensive" kaingia mzimamzima!

Najiuliza, kwa nini mtu aandamane ili kina Lowasa wapate nafasi ya kufanya mikutano, wakati Lowasa mwenyewe ana rub shoulders kwa bashasha tele na hao wanaominya demokrasia?

Sasa kama anaweza kukutana nao na kuzungumza nao, si akawaambie mwenyewe kuhusu haki ya mikutano badala ya kututaka sisi tuingie mabarabarani?

Inabidi wampe "charm offensive" mtu wanayemwita fisadi mkuu na kudai kuondoka kwake kumehamishia "choo" upande wa mahasimu wao? Bila shaka muda si mrefu tutajua uzito wa kete anayocheza Lowassa. Kama haitakuwa na manufaa kwa CHADEMA nahisi itakuwa kwake binafsi kuwazima wanaomsema ovyo ilhali "akiwazukia" ana kwa ana wanaishia kumtolea tabasamu tu huku mkulu mwenyewe akiuona "muujiza" wa kupata fursa ya kuushika mkono wa Lowassa!
 
Hii kauli ni ukweli mtupu Mkuu, na ipo mifano chungu nzima ya kudhibitisha hii kauli yako.

Hatimaye umeibuka. Mzee wenu jana alikuwa anafyonza mvinyo baridi wenzake wa ccm nyie Makamanda mnagoma kula huko mahabusu Arusha😀😀😀
 
Lowassa kakosea but why now


Waombe mods warekebisha kichwa kisomeke hivi:

Lowassa kakosea, why now

au usomeke:

Lowassa kapatia, but why now


Kila siku tuko hapa tunapiga kelele sijui Ndalichako lele lele lele, ooh NECTA sijui wamefanya nini, mikopo ya HESBL blah blah, walimu, madawati ya watoto wetu lele lele lele.... lakini mbona watoto wetu wakija hapa kutusoma wataona kama wazazi wetu hawa nao ni kama hawakusoma?

Lowassa kakosea but why now

What the hell is that?
 
Lowasa ni mtu wa maswala na maswala hayafanyikii chumbani kwa siri bali front kwenye wadau mbalimbali.
Amekutana na wadau wa siasa kwenye shuhuli ya kijamii aliyoalikwa kwa tiketi ya waziri mkuu aliyehudumu taifa kwa kipindi flani.
Kushinda nje ya gereza alilofungwa Lema sio solution ya matatizo, matatizo yanashuhulikiwa kwa maongezi yanayifanyika kwenye vikao rasmi na visivyo rasmi.
Mngemkuta Lowasa Serena hotel ana kikao na Mkapa na Magufuli si mngemtukana matusi ya kila aina?
Sasa katokea hadhari kwenye shuhuli ya kijamii na kujadili jambo na watesi wake sioni kesi hapo.

Wajinga ndio waliwao. Yeye anafyonza mvinyo baridi na wenzake wa ccm wakati kamanda Lema anakosa hata uji mahabusu na kamanda Mwalimu anabeba mtondoo huko Maswa😀😀😀
 
Hakukosea, Wale walialikwa Kimkakati, Unafikiri aliyetuma Mwaliko kwa Lowassa, Salim, Magufuli etc alifanya Hivyo kwa Bahati mbaya? Lowassa amealikwa kwa ajili ya Hatua za Mwanzo za Kutafuta Usuluhishi na Amani ya Nchi

Mbona mlisusa futari ya Waziri Mkuu? Wajinga ndio waliwao
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#

kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#

Lakini nyinyi so ndiyo mnaitwa nyumbu.Mwenzenu alikuwa anaombea aipate hiyo nafasi ya kukutana na kukaa na rais,kwa Bahati kaipata Ni Kama kipofu aliyeona mwezi.kwanza hakuamini kuwa watapangiwa hata kukaa karibu. Mbatia na genge lake sasa muamke.Mambo ya kususa hata kusalimiana,oneni mwenzenu anavyowaumbua sasa.
 
Ha ha ha.
Mshamwona Lowassa msaliti.
Raiti angesikia ushauri au kushtuka wakati yule babu katibu anatukanwa matusi....ndo basi tena.
Tulia kamanda.
Mlisema "Ulipo Tupo" basi akitabasam mnatabasam..akimkumbatia Kinana ndo hivyo tena.
Kwanza mzee wa watu ashawaambia hataki maandano na harakati nyie mnamlazimisha tu....kwa nini lakini?

Ha ha ha
Alisema wamegraduate sasa wao sijui wamesup au wanaresit paper
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Si ni Rais wa mioyo ya wanachadema huyo or? Zungusha,zungusha,zungusha!
 
Political maturity huonyeshwa na watu wazima.
Uzuri mmoja yeye sio muongeaji ila CCM wanajua hii ni move moja hatari kwao ndiyomaana wameweka propaganda machinery ila Magufuli kawa kinyume chao baada ya kukiri jukwaani kuwa amepata baraka kushikana mkono na Lowasa.
 
ivi wanaomtesa Lema na makamanda wengine huko rumande ndio babu anaenda kuwakumbatia ?
 
Inabidi wampe "charm offensive" mtu wanayemwita fisadi mkuu na kudai kuondoka kwake kumehamishia "choo" upande wa mahasimu wao? Bila shaka muda si mrefu tutajua uzito wa kete anayocheza Lowassa. Kama haitakuwa na manufaa kwa CHADEMA nahisi itakuwa kwake binafsi kuwazima wanaomsema ovyo ilhali "akiwazukia" ana kwa ana wanaishia kumtolea tabasamu tu huku mkulu mwenyewe akiuona "muujiza" wa kupata fursa ya kuushika mkono wa Lowassa!
you have hit the nail on the head!umegonga mulemule!
Alisema wamegraduate sasa wao sijui wamesup au wanaresit paper
ahahahaha
 
Political maturity huonyeshwa na watu wazima.
Uzuri mmoja yeye sio muongeaji ila CCM wanajua hii ni move moja hatari kwao ndiyomaana wameweka propaganda machinery ila Magufuli kawa kinyume chao baada ya kukiri jukwaani kuwa amepata baraka kushikana mkono na Lowasa.
Lowasa the Don!
 
Mleta uzi wewe ulitaka kama kaalikwa asiende; na kama akienda asisalimiane na watu kisa ni wa chama chake cha zamani? Kumbe hufahamu kuwa lile tukio lilipangwa vizuri ili kukutanisha "mahassimu" ili kuona kama amani itadumishwa ifikapo sept mosi?

Hivi kweli kuna madhara gani mahasimu kukutana na kusalimiana kwa furaha na bashasha hata kama kuna machungu mioyoni?

Hebu tumuige mzee wetu EL na sisi tuwe tayari kwa maandamani na mikutano ya UKUTA ifikapo sept mosi.

Kutoshiriki shughuli za watu wa CCM ni azimio la Chadema na Lowassa ni mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema, Punguzeni wingi wa Matamko na Maazimio ili muwe mnayakumbuka na kuyasimamia
 
Nchi ya ajabu hii,bado sijaona chama Kinachokidhi mahitaji yangu ya kisiasa,Natamani ningekuwa South Africa (EFF)
 
sa ungemuona mbowe anavyopewa mbinu za kuwaendesha na Mkuu wake ktk idara ya usalama wa faita si ungezimia
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#


Tuache uchochezi.
Taifa hili linahitaji watu wenye hekima kama Kinana , Pengo na Lowasa.
Kinana hajawahi kuwa na uadui na mtu.
Tuache fitina na majungu.
Kinana ni mwanasiasa tangu enzi za JK , Kinana alisimama kidete kupambana kutetea chama chake kwenye majukwaa ya kisiasa.
Alifikia mahali akawa anapingana na wenzake kama akina Np kwa kueneza siasa za chuki binafsi na kumshauri ajikite kwenye kujenga chama badala ya majungu na fitina.

Kinana anajua umuhimu wa siasa za majukwaani na nadhani hata yeye angependa kuona siasa na mikutano ya jadhara inafanyika . Kinana sio muoga wa kuingia kwenye ulingo wa majukwaa ya kisiasa.
Kusema eti Lowasa asisalimiane na Kinana ni kufilisika kisiasa. Kinani ni mwanasiasa bora dana ndani ya CCM ndio maana wakati wa JK alipambana kwa hoja kujenga chama chake bila kuingiza vyombo vya dola.

Hata Magufuli anapenda kuona wapinzani wake wanakaa kwa raha kwa kuheshimiana alimradi kukosoana kwa staha bila maneno ya kuudhi.
Kila chama ni lazima liwe na wazee wenye hekima na busara wanaoweza kukaa mezani na kuzungumza juu ya amani ya nchi.
Ndio maana Warioba na Salmu A. Salim walidhalilishwa sana na vijana wa CCM kwenye mchakato wa katiba mpya lakini hawakuonyesha chuki na kupaniki. Walijua ni utoto tu. Wakaendelea kushirikiana nao. Kinana ni Mzee wa siku nyingi na ametoka mbali na Lowasa. Wametofautiana kisiasa tu lakini sio maadui.
Siasa mukiijenga kwa misingi ya uadui basi hamtufai kabisa. Siasa tunataka iwe ni tofauti za namna mtakavyotuletea maendeleo na sio namna mnavyoweza kutukanana na kujenga uhasama dhidi ya watu.
 
Back
Top Bottom