Lowassa kakosea, why now?

Lowassa kakosea, why now?

Lowasa msaliti Mbowe fukuza Lowasa...aah nimesahau kumbe Lowasa ndiye mmiliki wa Chadema.
 
zile Picha zimedisplay tafsiri nyingi sn
1472396959048.jpg


Hasa hiii
 
Hakukosea, Wale walialikwa Kimkakati, Unafikiri aliyetuma Mwaliko kwa Lowassa, Salim, Magufuli etc alifanya Hivyo kwa Bahati mbaya? Lowassa amealikwa kwa ajili ya Hatua za Mwanzo za Kutafuta Usuluhishi na Amani ya Nchi
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Kuna mambo ya kiasiasa na kuna mambo ya kijamii vitu hivi vikichanganywa madhara yake ni makubwa sana inamana ingetokea mwana ccm kafiwa hairuhusiwi kwenda msibani? Tuache siasa ifanye kazi upande wa siasa.
 
Poleni sana Chadema.. Kwa kweli mnatia huruma, mmenasa kwenye tego kuchomoka hamuwezi.
 
Hakukosea, Wale walialikwa Kimkakati, Unafikiri aliyetuma Mwaliko kwa Lowassa, Salim, Magufuli etc alifanya Hivyo kwa Bahati mbaya? Lowassa amealikwa kwa ajili ya Hatua za Mwanzo za Kutafuta Usuluhishi na Amani ya Nchi
Usuluishi upi huo kamanda? Madai yenu si kuhusu udikteta, je udikteta umekwisha baada ya lowassa kwenda huko?.. Poleni sana makamanda, mtakoma kumjua Mbowe na Lowassa. Huu ni mwanzo tu.
 
Lowassa sio seif sharif bana, hao amekula nao sana sasa unategemea asisalimiane nao kisa kichaa lisu au lema? Kweli wewe humjui el.
 
Usuluishi upi huo kamanda? Madai yenu si kuhusu udikteta, je udikteta umekwisha baada ya lowassa kwenda huko?.. Poleni sana makamanda, mtakoma kumjua Mbowe na Lowassa. Huu ni mwanzo tu.
Hizo Ni Siasa za Watu Wazima Huziwezi, Huzijui!
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Wote hawa n ccm na hamuwez kumuelewa lowasa na chadema....mnataka kutugombanisha
 
Nina wasiwasi na mleta mada huenda ana mengi zaidi. Mbona Mh Mbowe alienda kumtakia afya njema Spika wa bunge, kwahiyo alikosea au? Tuache siasa za uadui, tunajenga nyumba moja kwanini tugombee fito? Tafakuli!!
 
Nyumba inayovuja utaijua wakati wa masika.

Kama mafundi na vibarua wanazungumza lugha tofauti huo ukuta hauwezi kufika hata kozi moja.

BAVICHA vs ULIPO TUPO
 
lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#

Mkija kukumbuka mtaanza kumuita majina yale mengine yote na wapo watu ambao wataamini kuwa sasa mnasema kweli. Kwa vile mmeamua kubeba gunia la mbigili, bebeni tu ila mlibebe kwa tahadhari kwani kaa la moto siyo pipi!
 
Mkija kukumbuka mtaanza kumuita majina yale mengine yote na wapo watu ambao wataamini kuwa sasa mnasema kweli. Kwa vile mmeamua kubeba gunia la mbigili, bebeni tu ila mlibebe kwa tahadhari kwani kaa la moto siyo pipi!
mkuu nakuheshimu lakin jiepushe sn usije fanana na ile karatasi lain ya round
 
Back
Top Bottom