assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #81
usalama ni watu hatar
Huyu mleta mada ametumwa kuja kumtenganisha Lowassa na viongozi wa CHADEMA.siasa haina uadui
Huyu ni Kijana wa Lumumba ametumwa kuidivide CHADEMA.Kwani Mbowe anasemaje? Wewe unayemshambulia Lowassa, una mchango gani kwenye chama?
Mbowe alikuwa mahakamani au gerezani alipo Lema?Mkuu hujielewi ngoja siku nyoka aingie sebuleni kwako halaf ukae kwenye kochi wakati mwanao anatambaa kuelekea nyoka alipo ndio utaelewa nyoka anauwawa au anachekewa
Elim elimu elimukitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.
Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema
watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi
lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Mna akili za ajabu sanaSiasa sio vita. Mwanachama wa yangu kumkombatia mwanachama wa simba ni kawaida.
Mna akili za ajabu sana
Mlipotangaza vita na Tulia ilikuaje
Waraka unaokataza mameya wa ukawa kushiriki shughuli za serikali upo wapi
Kubalini tu Lowassa amekiuka miiko yenu
Aisee nyie mnaifanya siasa kuwa ngumu sasa hata kama atawanunia ndio itasaidia kuwafutia hizo kesi?kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.
Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema
watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi
lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Hata mimi nakuunga mkono mkuu inabidi sasa siasa zitoke kuwa za mistuni na ziwe za kiraiani haiwezeskani ukawanunia watu tena kwenye sherehe za watuMleta uzi wewe ulitaka kama kaalikwa asiende; na kama akienda asisalimiane na watu kisa ni wa chama chake cha zamani? Kumbe hufahamu kuwa lile tukio lilipangwa vizuri ili kukutanisha "mahassimu" ili kuona kama amani itadumishwa ifikapo sept mosi?
Hivi kweli kuna madhara gani mahasimu kukutana na kusalimiana kwa furaha na bashasha hata kama kuna machungu mioyoni?
Hebu tumuige mzee wetu EL na sisi tuwe tayari kwa maandamani na mikutano ya UKUTA ifikapo sept mosi.
Hivi wewe tangu umejiunga jf kuna siku uliwahi kuchangia mada kiungwana na watu wakakuelewa?Hahahahaha..
Lowasa ni Asset au liability?
siasa si chuki,acha watu wapige hela nyie mkaandamane tu watengue viuno hivyo ili msizaliane kutuletea manyumbu matupu kichwani kama wewe.kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.
Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema
watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi
lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#