Lowassa kakosea, why now?

Lowassa kakosea, why now?

Yaan we unajidanganya Lowasa atavunjwa kiuno..?
Unajidanganya Lowasa, Sumaye au Kingunge anaweza kuwa mstari wa mbele kwenye maandamano kama ilivyokuwa kwa Dr. Slaa..?
 
Mkuu hujielewi ngoja siku nyoka aingie sebuleni kwako halaf ukae kwenye kochi wakati mwanao anatambaa kuelekea nyoka alipo ndio utaelewa nyoka anauwawa au anachekewa
Mbowe alikuwa mahakamani au gerezani alipo Lema?

Wakati wa kukaribia kampeni mwaka jana J.P. Magufuli alienda hai kuzindua barabara na Mbowe alimpokea na kumpongeza sana.

Unalizungumziaje hilo?
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Elim elimu elimu
 
Siasa sio vita. Mwanachama wa yangu kumkombatia mwanachama wa simba ni kawaida.
Mna akili za ajabu sana
Mlipotangaza vita na Tulia ilikuaje
Waraka unaokataza mameya wa ukawa kushiriki shughuli za serikali upo wapi
Kubalini tu Lowassa amekiuka miiko yenu
 
Mna akili za ajabu sana
Mlipotangaza vita na Tulia ilikuaje
Waraka unaokataza mameya wa ukawa kushiriki shughuli za serikali upo wapi
Kubalini tu Lowassa amekiuka miiko yenu


Miiko yetu unaijua vizuri kulipo wenye miiko?

Hiyoo imekuuma mliekuwa mnamuita visadi anakombatiwa na mropokaji wenu bila hiana mropokaji kashindwa kuficha furaha yake.
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Aisee nyie mnaifanya siasa kuwa ngumu sasa hata kama atawanunia ndio itasaidia kuwafutia hizo kesi?
 
Mleta uzi wewe ulitaka kama kaalikwa asiende; na kama akienda asisalimiane na watu kisa ni wa chama chake cha zamani? Kumbe hufahamu kuwa lile tukio lilipangwa vizuri ili kukutanisha "mahassimu" ili kuona kama amani itadumishwa ifikapo sept mosi?

Hivi kweli kuna madhara gani mahasimu kukutana na kusalimiana kwa furaha na bashasha hata kama kuna machungu mioyoni?

Hebu tumuige mzee wetu EL na sisi tuwe tayari kwa maandamani na mikutano ya UKUTA ifikapo sept mosi.
Hata mimi nakuunga mkono mkuu inabidi sasa siasa zitoke kuwa za mistuni na ziwe za kiraiani haiwezeskani ukawanunia watu tena kwenye sherehe za watu
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
siasa si chuki,acha watu wapige hela nyie mkaandamane tu watengue viuno hivyo ili msizaliane kutuletea manyumbu matupu kichwani kama wewe.
 
Pamoja na yote yanayoendelea, sikuona kams Lowassa alionyesha bashasha yoyote, na hata kama angeonyesha singeona tatizo lolote. Kwa mini? Ule haukuwa muktadha wa kisiasa, bali wa kidini. Halafu hilo ni jambo la kawaida kwa mtu aliyekomaa kisiasa. Hata kwenye mpira tunaona watu wanapigwa 5-0 lakini mwishoni watashikana mikono na ku-hug. Umewahi kutafakari maana yake?
 
Kuna mambo CDM wanamlazimisha Lowassa awaunge mkono ingawa yeye hataki. Na mojawapo ni hili la September mosi. Mbowe anasema September 1 maandamano yako palepale, Lowassa anataka mazungumzo baina ya pande mbili hasimu kabla ya September 1.
 
wewe baki hapo hapo mwenzio anajua anachofanya nenda katafute mkwanja
 
Timing was not right! Hii imepunguza kabisa joto la ukuta na morale, hivyo watawala wamepata afueni sana na hili
 
Back
Top Bottom