Lowassa kakosea, why now?

Lowassa kakosea, why now?

kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Ha ha ha.
Mshamwona Lowassa msaliti.
Raiti angesikia ushauri au kushtuka wakati yule babu katibu anatukanwa matusi....ndo basi tena.
Tulia kamanda.
Mlisema "Ulipo Tupo" basi akitabasam mnatabasam..akimkumbatia Kinana ndo hivyo tena.
Kwanza mzee wa watu ashawaambia hataki maandano na harakati nyie mnamlazimisha tu....kwa nini lakini?

Ha ha ha
 
Lowasa kapewa "charm offensive" kaingia mzimamzima!

Najiuliza, kwa nini mtu aandamane ili kina Lowasa wapate nafasi ya kufanya mikutano, wakati Lowasa mwenyewe ana rub shoulders kwa bashasha tele na hao wanaominya demokrasia?

Sasa kama anaweza kukutana nao na kuzungumza nao, si akawaambie mwenyewe kuhusu haki ya mikutano badala ya kututaka sisi tuingie mabarabarani?
Acha longolongo, wewe nenda tu kaandamane hiyo tarehe mosi. Tafadhali usibadili msimamo kamanda.
 
Lowasa ni mtu wa maswala na maswala hayafanyikii chumbani kwa siri bali front kwenye wadau mbalimbali.
Amekutana na wadau wa siasa kwenye shuhuli ya kijamii aliyoalikwa kwa tiketi ya waziri mkuu aliyehudumu taifa kwa kipindi flani.
Kushinda nje ya gereza alilofungwa Lema sio solution ya matatizo, matatizo yanashuhulikiwa kwa maongezi yanayifanyika kwenye vikao rasmi na visivyo rasmi.
Mngemkuta Lowasa Serena hotel ana kikao na Mkapa na Magufuli si mngemtukana matusi ya kila aina?
Sasa katokea hadhari kwenye shuhuli ya kijamii na kujadili jambo na watesi wake sioni kesi hapo.
 
Lowasa ni mtu wa maswala na maswala hayafanyikii chumbani kwa siri bali front kwenye wadau mbalimbali.
Amekutana na wadau wa siasa kwenye shuhuli ya kijamii aliyoalikwa kwa tiketi ya waziri mkuu aliyehudumu taifa kwa kipindi flani.
Kushinda nje ya gereza alilofungwa Lema sio solution ya matatizo, matatizo yanashuhulikiwa kwa maongezi yanayifanyika kwenye vikao rasmi na visivyo rasmi.
Mngemkuta Lowasa Serena hotel ana kikao na Mkapa na Magufuli si mngemtukana matusi ya kila aina?
Sasa katokea hadhari kwenye shuhuli ya kijamii na kujadili jambo na watesi wake sioni kesi hapo.
Mkuu hujielewi ngoja siku nyoka aingie sebuleni kwako halaf ukae kwenye kochi wakati mwanao anatambaa kuelekea nyoka alipo ndio utaelewa nyoka anauwawa au anachekewa
 
Mkuu hujielewi ngoja siku nyoka aingie sebuleni kwako halaf ukae kwenye kochi wakati mwanao anatambaa kuelekea nyoka alipo ndio utaelewa nyoka anauwawa au anachekewa
Ohoooo...mshamwona Lowassa joka kuu?
Nyie 4UM na Ulipo Tupo mbona mnahatari sana?
 
kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.

Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema

watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi

lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Siasa sio uadui kk
 
Kaisaliti chadema, kwani tumejiwekea tamaduni za kususia shughuli za ccm. Iweje lowasa ajipeleke kwenye shughuli ya mkapa?!!!!. Kama si lowasa kuwa mnafiki basis chadema wanafiki
 
Back
Top Bottom