BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hii kauli ni ukweli mtupu Mkuu, na ipo mifano chungu nzima ya kudhibitisha hii kauli yako.
siasa huzaa uadui km hakuna haki
siasa huzaa uadui km hakuna haki
Ha ha ha.kitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.
Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema
watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi
lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
I smell rat
In this case the rat can eat the fish or vice versaI smell fishy
maalim anamsimamo na hanunuliki wala hatumikiMwenzie Maalim Seif alikuwa Smart kuwanyima Photo Op
Acha longolongo, wewe nenda tu kaandamane hiyo tarehe mosi. Tafadhali usibadili msimamo kamanda.Lowasa kapewa "charm offensive" kaingia mzimamzima!
Najiuliza, kwa nini mtu aandamane ili kina Lowasa wapate nafasi ya kufanya mikutano, wakati Lowasa mwenyewe ana rub shoulders kwa bashasha tele na hao wanaominya demokrasia?
Sasa kama anaweza kukutana nao na kuzungumza nao, si akawaambie mwenyewe kuhusu haki ya mikutano badala ya kututaka sisi tuingie mabarabarani?
Lakini aliwazalo mjinga huwa.Hujitambui wewe unafikiri na wenzio wana akili fupi kama zako
Go and shower thenI smell fishy
Mkuu hujielewi ngoja siku nyoka aingie sebuleni kwako halaf ukae kwenye kochi wakati mwanao anatambaa kuelekea nyoka alipo ndio utaelewa nyoka anauwawa au anachekewaLowasa ni mtu wa maswala na maswala hayafanyikii chumbani kwa siri bali front kwenye wadau mbalimbali.
Amekutana na wadau wa siasa kwenye shuhuli ya kijamii aliyoalikwa kwa tiketi ya waziri mkuu aliyehudumu taifa kwa kipindi flani.
Kushinda nje ya gereza alilofungwa Lema sio solution ya matatizo, matatizo yanashuhulikiwa kwa maongezi yanayifanyika kwenye vikao rasmi na visivyo rasmi.
Mngemkuta Lowasa Serena hotel ana kikao na Mkapa na Magufuli si mngemtukana matusi ya kila aina?
Sasa katokea hadhari kwenye shuhuli ya kijamii na kujadili jambo na watesi wake sioni kesi hapo.
Ohoooo...mshamwona Lowassa joka kuu?Mkuu hujielewi ngoja siku nyoka aingie sebuleni kwako halaf ukae kwenye kochi wakati mwanao anatambaa kuelekea nyoka alipo ndio utaelewa nyoka anauwawa au anachekewa
Siasa sio uadui kkkitendo alichokifanya lowasa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani,mwalimu kakamatwa,lisu anakesi kibao,sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na kinana,kujichekesha mbele ya raisi. even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.
Lowasa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili,tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine mrema
watu tunajiandaa na Ukuta wewe unajichekesha na wstu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno km si kutufunga bila kesi
lowasa katika mazingira haya smile kwa kinana na magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
true swala hawez kaa na chui mtajidiliana nn?Ila kuna kitu hakiko sawa hapoo
ndio mana nimekwambia hujielewiUlitaka aongoze kwa kubembelezana