Lowassa kakosea? Hapana, tujikumbushe ushauri huu

Lowassa kakosea? Hapana, tujikumbushe ushauri huu

Swali la kwamba Lowasa ni Mwizi au sio mwizi wakuulizwa ni wenye vyombo vya uchunguzi,mahakama na intelijensia.

Wapinzani walipokea toka kwa CCM wenyewe waliokua wanaendesha siasa za kikabila,kikanda na kidini.
Hayo ndiyo waliyotumia kumpiga vita Lowasa. Walianza tangu enzi za chama kimoja ndani ya chama hicho kikongwe barani Afrika.. Hata ndani ya CCM hiyo vita ya kupakana matope ipo na ndiyo inayotumika kuwagawa kimakundi.
Leo hii kuna CCM wanaotaka kupata fursa ya kula mema ya nchi kupitia madaraka wameshaanza kudai wenzao wafukuzwe kwenye chama kisa wanaona kuwa Mkulu hatoshi kwenye uenyekiti mana hajawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kwenye chama.

Ukumbuke kuwa hata ndani ya CCM kilichosababisha Lowasa akatwe sio ufisadi mana huko hakuna msafi hata wa kuangalia kwa darubini. Kilichomtoa Lowasa ni Afya yake kwani wakati ule ilidorora sana.
Na kwa mziki wa wapinzani wake waliikua wanatumia kila mbinu kumdhibiti ili asije akaingia ikulu akawaadhibu bila huruma na woga wao wa kulipizwa visasi. Hapakuwa na jinsi zaidi ya kumkata.

Hata hivyo Wananchi ndio wanaoona usafi wa Lowasa na sio adui zake kisiasa.
Nisingetegemea mtu maarufu kama Lowasa kusifiwa na wapinzani wake kisiasa.
Na pia nisingetegemea wapinzani kuendelea kumpinga mtu ambaye ameamua kukipinga chama wanachotaka kukitoa madarakani.
Ni sawa kama leo hii kwa Magufuli , sisi wananchi ndio tunamuona anajitahidi lakini wanasiasa hawajamkubali.
Ni kawaida kwenye siasa. Na ndio maana wanamwambia Magufuli ahame Chama.

Tofauti ya Lowasa na wanasiasa wengine ni kuwa hatumii siasa za kutukana watu.
Kura alizopata ni ushahidi tosha kuwa wananchi ndio waliokua wanamuhitaji na sio wanasiasa. Mbowe aliliona hilo. Kwa katiba yetu na tume inayosimamiwa na makada wa CCM kuanzia kwenye vijiji,wilaya ,mikoa na vyombo vya dola Lowasa kubakiziwa kura mil. 6 ni ushindi kwa UKAWA.
Sidhani kama ulikuwa na uelewa wa kisiasa kipindi cha list of shame iliposomwa,wananchi tuliambiwa ni fisadi na ushahidi upo,sasa leo maneno yamegeuka,Dr.Slaa leo anapakwa tope la usaliti,sasa kwa hali hii unategemea mtu mwenye upeo wa fikra akuelewe. Kwa hoja yako ya kusema waliomwita mwizi ni alipotoka na upinzani ukachukua toka huko bila kuthibitisha basi ni dhahiri kuna watu wanatumia chochote wanachokisikia kuaminisha umma kuwa fulani ni mbaya wakati sio hivyo ili wao wanufaike,kama alivyokuwa anafanya mtoa mada ,maana alidiriki kuandika JIZI ili tu kumharibia mheshimiwa kisiasa,ambapo tunarudi kulekule kwenye siasa za chuki na kupakana matope,kwa hiyo hamna mwenye unafuu katika hilo kati ya ccm na upinzani,wote wanafanya siasa za aina moja.
 
Angalau upinzani unaangalia kutoka chama cha harakati mpaka chama cha siasa, ila hatari ni kuwa na chama kinachoacha sera zake na sheria na kugeuka chama cha kidikteta na harakati.
 
Jiwe walilolikataa waashi...leo lowasa waliyemchafua ndio mwenye ushawishi wa kutoa dira ya chama,mtu sio mwenyekiti wala mjumbe wa kamati kuu lakini anawaambia waache harakati. Swali moja tu kwa wanafiki "lowasa alikuwa mwizi au sio mwizi!?" yericko atujibu hili bila siasa na kumung'unya maneno.
Lowassa alituhumiwa na wengi kuwa mwizi fisadi ,
bahati mbaya hakuna aliye thibitisha na mamlaka halali zinazotoa haki ya kufungwa kwa tuhuma ama lah,

hivyo jibu lako lowassa ni safi kama sio kathibishe bila shaka afu uje na maneno tofauti vinginevyo shut up.
 
sipati picha nzuri, siku ikijulikana lowasa ni pandikizi la ccm hili jasusi yeriko litasema nenee!
 
Lowassa HAFAI hata kama sasa unageuka kumsafisha

Aliitumikia serikali dhalimu ya CCM na ndiye yy aliongoza kupiga kura kuikataa rasimu ya Warioba!Anahurumia umaskini wa watz leo akiwa hayupo madarakani,mbona alipokuwa hadi PM hakuonyesha kuwahurumia watz?

Mbowe na Lowassa ondekeni CHADEMA mtuachie chama chetu!Lengo la Mbowe ni kuwa tu Kiongozi wa Wapinzani Bungeni apewe heshima na ving'ora,hawa watu wawili HAWANA hata chembe ya mikakati kushika dola

We want Dr Slaa and Mnyika back
Kijana acha unafiki usio na tija, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba alikuwa Samweli Sita kama hukujua au kama umesahau....

Porojo zako peleka Lumumba huko
 
Lowassa alituhumiwa na wengi kuwa mwizi fisadi ,
bahati mbaya hakuna aliye thibitisha na mamlaka halali zinazotoa haki ya kufungwa kwa tuhuma ama lah,

hivyo jibu lako lowassa ni safi kama sio kathibishe bila shaka afu uje na maneno tofauti vinginevyo shut up.
Kwani aliyeanza kuwaaminisha watanzania kuwa lowasa ni fisadi ni chama gani?au unajitoa ufahamu!
 
Kijana acha unafiki usio na tija, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba alikuwa Samweli Sita kama hukujua au kama umesahau....

Porojo zako peleka Lumumba huko


Hivi naomba kukuuliza swali, ni kwa nini wewe ni maarufu? Mimi binafsi nimekusikia hapa hapa JF na sijawahi kukusikia sehemu nyingine yoyote ya Dunia hii, sasa kwa nini wewe ni maaraufu hapa JF?

Je, ni sababu tu umeweka picha yako asilia na labda kutumia jina lako halisi tofauti na sisi wengine au kuna zaidi labda ulilofanya? Kwa maana najaribu kulinganisha umaarufu wako hapa JF na ulichofanya sioni, sasa nashindwa kuelewa mtu low income kama wewe unawezaje kuwa maarufu?
 
Mkuu...
Mi siwezi kujenga hoja kwenye mambo ya siasa, ingawa nimekua msomaji mzuri wa habari za siasa.
Naomba tu kujua kuhusu kesi yako imefikia wapi?
 
Hivi naomba kukuuliza swali, ni kwa nini wewe ni maarufu? Mimi binafsi nimekusikia hapa hapa JF na sijawahi kukusikia sehemu nyingine yoyote ya Dunia hii, sasa kwa nini wewe ni maaraufu hapa JF?

Je, ni sababu tu umeweka picha yako asilia na labda kutumia jina lako halisi tofauti na sisi wengine au kuna zaidi labda ulilofanya? Kwa maana najaribu kulinganisha umaarufu wako hapa JF na ulichofanya sioni, sasa nashindwa kuelewa mtu low income kama wewe unawezaje kuwa maarufu?
Mimi Low income mkuu? Una umri gani ndugu na umeijua mitandao lini?
 
Jiwe walilolikataa waashi...leo lowasa waliyemchafua ndio mwenye ushawishi wa kutoa dira ya chama,mtu sio mwenyekiti wala mjumbe wa kamati kuu lakini anawaambia waache harakati. Swali moja tu kwa wanafiki "lowasa alikuwa mwizi au sio mwizi!?" yericko atujibu hili bila siasa na kumung'unya maneno.
Aliiba nini katika nchi hii mkuu na mahakama ipi iliwahi kumtia hatiani?
 
Lowassa alituhumiwa na wengi kuwa mwizi fisadi ,
bahati mbaya hakuna aliye thibitisha na mamlaka halali zinazotoa haki ya kufungwa kwa tuhuma ama lah,

hivyo jibu lako lowassa ni safi kama sio kathibishe bila shaka afu uje na maneno tofauti vinginevyo shut up.
Naaam naaam mkuu
 
Huyu jamaa hana aibu kabisa..


Nyumbu Nyumbu tu.
 
Kijana acha unafiki usio na tija, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba alikuwa Samweli Sita kama hukujua au kama umesahau....

Porojo zako peleka Lumumba huko
Weka hapa michango ya PM Lowassa wakati huo CCM wanapitisha mambo yao kukataa rasimu ya Mzee Warioba

Hata wewe ulimpinga PM Lowassa kwa unyama wake aliotufanyia watz kukataa rasimu ya Warioba!

Huyu hasafishiki na kaiondoa CHADEMA ktk reli,wala sasa hatujui CHADEMA wanasimamia sera gani
 
Kijana acha unafiki usio na tija, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba alikuwa Samweli Sita kama hukujua au kama umesahau....

Porojo zako peleka Lumumba huko
Bila shaka we jamaa umeambiwa ukane yote uliyoandika enzi hizo, vinginevyo mdomo hautaenda kinywani, uliyemwita mwizi ndo kwenye Chama, huna pa kutokea ndo unamlamba miguu hivoo eti!
 
Back
Top Bottom