Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Mgombea urais kupitia muungano wa UKAWA, Edward Lowassa amewapongeza waislamu kwa kupata MUFTI Mkuu na kuwaomba waislamu wote kumpa ushirikiano kama walivyofanya kwa MUFTI Shaban Bin Simba...

Vile vile amempongeza binafsi MUFTI (mteule) Aboubakar Zuberi kwa kuchaguliwa kwake....

Lowassa Zuberi.PNG
 
Anajikosha tu kwa Waislam. Akili yake ipo kwa Walutheri wenzake
 
Sijui niseme umepagawa unapomhusisha Lowassa na Lutheran maana yake unamhusisha na zaidi ya dayosisi 20 zilizotapakaa Tanzania yote.Maana yake unakataa kura za walutheri zaidi ya 6 million !.

Kwa taarifa yako KKKT imo ndani ya jumuiya ya kikristo Tanzania ambayo inajumuisha madhahebu yote protestant Tanzania sasa CCM ikiendelea na mchezo wa kugawa waTanzania safari hii itajikuta inapata maumivu makubwa zaidi kuliko inavyofikiri.Zilikuwepo propaganda CUF ni ya waislam baadae mkasema CDM ni wakristo hizi hila zitakuja kuwapasukia mchana kweupe.

Jumuiya ya Kikristo Tanzania ina wanachama wafuatao.

1. KKKT

2. ACT (Anglican Church Tanzania)

3. MCT (Morovian Church of Tanzania)

4. AICT (Africa Inland Church Tanzania)

5. MCT (Mennonite Church in Tanzania)

6. Church of God

7. African Brotherhood Church

8. Salvation Army

9. PEA

10. ECM

11. BCT

Ni vyema kabla hamjaaza kutumbukiza udini mkajipanga vyema msije kulalamika mbele ya safari.

Anajikosha tu kwa Waislam. Akili yake ipo kwa Walutheri wenzake
 
huyo tunamjua hatuta mchagua milele ataishia kukatwa.wanafiki tunawajua wana alama tatu,ambazo zote lowasa anazo,hatuta mchagua milele
 
HILI LIZEE linafiki sana leo linajifanya linampongeza mufti wakati halitaki kura za waislam, wakatoliki, wasabato, wapentecoste na wapagani, eti linataka kura za #WALUTHERI tu, swine kabisa hili lizee tena ovyoooo kabisa kuliko wadudu waishio na kinyesi chooni.
 
Mgombea urais kupitia muungano wa UKAWA, Edward Lowassa amewapongeza waislamu kwa kupata MUFTI Mkuu na kuwaomba waislamu wote kumpa ushirikiano kama walivyofanya kwa MUFTI Shaban Bin Simba...

Vile vile amempongeza binafsi MUFTI (mteule) Aboubakar Zuberi kwa kuchaguliwa kwake....

View attachment 286018
Angekuwa mdini angeanza kumbagua mkewe Regina ambaye ni Mkatoliki.
 
Back
Top Bottom