asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Vipi amejipangaje kwani mkuu?nani kakudanganya Lowasa siasa imemshinda?
Vipi amejipangaje kwani mkuu?nani kakudanganya Lowasa siasa imemshinda?
Hivi kumbe jeshi la polisi liko kwaajili ya wapinzani??bora leo umesema ukweli
Zile kauli za patachimbika,hakatwi mtu,Lowasa ndio rais ajaye nk zimepotelea wapi? Kingunge alisema patachimbika,how and when? Hatusikii akiongea na vyombo vya habari,ukitaka kujua usaliti wa hali ni huu.
Wamemlia hela zake,wamemdanganya kuwa tutakuwa nawe kwenye shida na raha leo hii yako wapi? Suala la patachimbika waachie Dr Slaa,Mbowe,Lissu,Lipumba,Lema ama upinzani wote kwa ujumla wake.
Hawa akina Nchimbi,Simba na Kimbisa,ni lini walishawahi kulala hata lock up,ni lini alish Wanajiandaa kutimkia ACT.
Zile kauli za patachimbika,hakatwi mtu,Lowasa ndio rais ajaye nk zimepotelea wapi? Kingunge alisema patachimbika,how and when? Hatusikii akiongea na vyombo vya habari,ukitaka kujua usaliti wa hali ni huu.
Wamemlia hela zake,wamemdanganya kuwa tutakuwa nawe kwenye shida na raha leo hii yako wapi? Suala la patachimbika waachie Dr Slaa,Mbowe,Lissu,Lipumba,Lema ama upinzani wote kwa ujumla wake.
Hawa akina Nchimbi,Simba na Kimbisa,ni lini walishawahi kulala hata lock up,ni lini alishawahi kutishiwa tu mkong'oto licha ya kupigwa marungu kama Prof Lipumba? Wamechimbwa mkwara tu mara moja,kimyaaa!!
Chama cha mapinduzi wakiwa upinzani itakuwa ni kama mbwa kibogoyo,wamekuwa wakilitumia jeshi la polisi kama jeshi la CCM,siku chama kingine kikishika dola na virungu viwageukie wao kazi itakuwa rahisi sana kuwanyamazisha maana hawajawahi hata kusikia sauti ya askari ikiwaamuru watulie.
Huu usaliti wa akina msukuma,mgeja ama wenyeviti wote wa mikoa wa CCM,kingunge,sofia simba,Nchimbi nk tujifunze kitu. Huu ndio usaliti wa hali ya juu kutokea,wamemlia hela zake,matokeo yake wamemkimbia na wamekaa kimya,njaa mbaya sana.
Zile kauli za patachimbika,hakatwi mtu,Lowasa ndio rais ajaye nk zimepotelea wapi? Kingunge alisema patachimbika,how and when? Hatusikii akiongea na vyombo vya habari,ukitaka kujua usaliti wa hali ni huu.
Wamemlia hela zake,wamemdanganya kuwa tutakuwa nawe kwenye shida na raha leo hii yako wapi? Suala la patachimbika waachie Dr Slaa,Mbowe,Lissu,Lipumba,Lema ama upinzani wote kwa ujumla wake.
Hawa akina Nchimbi,Simba na Kimbisa,ni lini walishawahi kulala hata lock up,ni lini alish Wanajiandaa kutimkia ACT.
Gwajima anakula Malimao muda huu
Na yeye asiwe msaliti pia,aendelee na harambee makanisani na misiktini.
nyie nyongeeni tu si safari ya ikulu ilishaanza...kilichomkalisha kimya dodoma ni nini kama ile kitu ilikuwa 'rough'? alafu lowassa ni nani yeye kila atakalo liwe kama alivyolipanga? hya ni maisha yanayohusisha binadamu ambao hawatabiriki..na kumbuka lolote linalomhusisha binadamu halitabiriki. Lowassa alijisahau kwamba mipango anapanga na "binadamu"ambao kubadilika ni sekunde.
Omba Mungu akupe maisha marefu....! Tutakumbushana hii post bdo
Alivyo jikampenia kabla ya hata kujua ka atapeperusha chama chake, hapo ndipo hadi kesho sielewi ilikuwaje. Kwani angesubiri baada ingekuwaje?
Bungeni alikaa muda gani maana barabarani kila siku?
Very true!Unknowingly, the team lowassa commited blunders which created the seeds of their own destruction....
Maamuzi atakayoyafanya mhusika anayezungumziwa kwenye uzi..yatawashangaza watanzania kuanzia viongozi wa ccm..😀😀
Vipi amejipangaje kwani mkuu?
Patachimbika tu!! Ukimwona kobe katulia jua anatunga sheria!! Mambo bado kabisa!!
Hakuna lolote atakalofanya zaidi ya kurudi kwao kuchunga ng'ombe. Hii ndiyo Tanzania bwana, waliokuwa wanajipendekeza kwake watamsahau sasa hivi
Waache wapige kelele,wasubiri gharika itakayokuja hawataamini macho yao
Kitu ambacho CCM wamemfanyia Lowasa, halafu ikitokea huyu mamvi akachukuwa nchi kupitia CCK, mbona vyoo vitakuwa havitoshi!Patachimbika tu!! Ukimwona kobe katulia jua anatunga sheria!! Mambo bado kabisa!!