Lowassa: Harusi yageuka matanga

Lowassa: Harusi yageuka matanga

Lini uliwahi kusikia magamba wamezuiwa kufanya mkutano? Ni lini uliwahi kusikia wanaccm wananyanyaswa ama kufunguliwa mashitaka na polisi?
Hivi kumbe jeshi la polisi liko kwaajili ya wapinzani??bora leo umesema ukweli
 
Zile kauli za patachimbika,hakatwi mtu,Lowasa ndio rais ajaye nk zimepotelea wapi? Kingunge alisema patachimbika,how and when? Hatusikii akiongea na vyombo vya habari,ukitaka kujua usaliti wa hali ni huu.
Wamemlia hela zake,wamemdanganya kuwa tutakuwa nawe kwenye shida na raha leo hii yako wapi? Suala la patachimbika waachie Dr Slaa,Mbowe,Lissu,Lipumba,Lema ama upinzani wote kwa ujumla wake.
Hawa akina Nchimbi,Simba na Kimbisa,ni lini walishawahi kulala hata lock up,ni lini alish Wanajiandaa kutimkia ACT.
 
Zile kauli za patachimbika,hakatwi mtu,Lowasa ndio rais ajaye nk zimepotelea wapi? Kingunge alisema patachimbika,how and when? Hatusikii akiongea na vyombo vya habari,ukitaka kujua usaliti wa hali ni huu.
Wamemlia hela zake,wamemdanganya kuwa tutakuwa nawe kwenye shida na raha leo hii yako wapi? Suala la patachimbika waachie Dr Slaa,Mbowe,Lissu,Lipumba,Lema ama upinzani wote kwa ujumla wake.
Hawa akina Nchimbi,Simba na Kimbisa,ni lini walishawahi kulala hata lock up,ni lini alishawahi kutishiwa tu mkong'oto licha ya kupigwa marungu kama Prof Lipumba? Wamechimbwa mkwara tu mara moja,kimyaaa!!
Chama cha mapinduzi wakiwa upinzani itakuwa ni kama mbwa kibogoyo,wamekuwa wakilitumia jeshi la polisi kama jeshi la CCM,siku chama kingine kikishika dola na virungu viwageukie wao kazi itakuwa rahisi sana kuwanyamazisha maana hawajawahi hata kusikia sauti ya askari ikiwaamuru watulie.
Huu usaliti wa akina msukuma,mgeja ama wenyeviti wote wa mikoa wa CCM,kingunge,sofia simba,Nchimbi nk tujifunze kitu. Huu ndio usaliti wa hali ya juu kutokea,wamemlia hela zake,matokeo yake wamemkimbia na wamekaa kimya,njaa mbaya sana.

Nchimbi al8ahidiwa uwaziri mkuu na mamvi
 
Zile kauli za patachimbika,hakatwi mtu,Lowasa ndio rais ajaye nk zimepotelea wapi? Kingunge alisema patachimbika,how and when? Hatusikii akiongea na vyombo vya habari,ukitaka kujua usaliti wa hali ni huu.
Wamemlia hela zake,wamemdanganya kuwa tutakuwa nawe kwenye shida na raha leo hii yako wapi? Suala la patachimbika waachie Dr Slaa,Mbowe,Lissu,Lipumba,Lema ama upinzani wote kwa ujumla wake.
Hawa akina Nchimbi,Simba na Kimbisa,ni lini walishawahi kulala hata lock up,ni lini alish Wanajiandaa kutimkia ACT.
 
Patachimbika tu!! Ukimwona kobe katulia jua anatunga sheria!! Mambo bado kabisa!!
 
Mkuu umenigusa sana. Nilikuwa mfuasi wa kutupa wa Lowassa nikiamini katika falsafa yake ya maamuzi magumu kumbe ilikuwa hadaa tu na hakuna lolote. Nilifikia hatua hata ya kichongesha bango kwa 80,000/= na nikawaambia viongozi wa CCM kuwa Lowassa asipotendewa haki nitamfuata anakoelekea. Leo hii kakaa kimya hana huruma tena na machungu ya wafuasi wake kwani anachoangalia kwa sasa si mashabiki wake wako hali gani isipokuwa masilahi yake akitoka CCM. Najuta kuipokea moyoni hiyo hadaa ya maamuzi magumu.
 
Khaa!! Kumbe Kingunge alitumwa kumvuruga mamvi. Nimesikia tu
 
kwa sasa hivi nilishaamua kutoharibu kura yangu kwenda upande wa pili, ila nasubiri mshana Jr aniaminishe mkuu, kwamba mzee bado yupo hai anapumua
nyie nyongeeni tu si safari ya ikulu ilishaanza...kilichomkalisha kimya dodoma ni nini kama ile kitu ilikuwa 'rough'? alafu lowassa ni nani yeye kila atakalo liwe kama alivyolipanga? hya ni maisha yanayohusisha binadamu ambao hawatabiriki..na kumbuka lolote linalomhusisha binadamu halitabiriki. Lowassa alijisahau kwamba mipango anapanga na "binadamu"ambao kubadilika ni sekunde.
 
Last edited by a moderator:
alianza kununua vitu vya mtoto kabla mtoto hajazaliwa
Alivyo jikampenia kabla ya hata kujua ka atapeperusha chama chake, hapo ndipo hadi kesho sielewi ilikuwaje. Kwani angesubiri baada ingekuwaje?

Bungeni alikaa muda gani maana barabarani kila siku?
 
Maamuzi atakayoyafanya mhusika anayezungumziwa kwenye uzi..yatawashangaza watanzania kuanzia viongozi wa ccm..😀😀

Hakuna lolote atakalofanya zaidi ya kurudi kwao kuchunga ng'ombe. Hii ndiyo Tanzania bwana, waliokuwa wanajipendekeza kwake watamsahau sasa hivi
 
Back
Top Bottom