Anaye bisha bisha kwamba EL hakuyasema maneno hayo ni mbumbumbu na hapaswi kuwepo humu Janvini! Msipende pelekwa kama makapi! EL aliyasema hayo ktk vikao vyao!
losawa sio mtu mzuri, kwa nn anajisafisha kwa kumuhusisha mwenyekiti?? boss wake. Wakati richmond wanasema ni kampuni feki na yy aliipigia debe ina maana boss wake ndo alimwambia afanye hivo. Utetezi wake wa kitoto na hadaa nyingi. Kaundiwa tume mbona kashindwa kujittetea bungeni akazidiwa akatangaza kuachia ngazii. Mzee mkapa alimaliza hiyo issue mana anamjua lowasa alikuwa anawapotezea muda na ghiliba zake ahahah
Mkuu naomba nikuulize
Unajua maana ya kuwa kiongoz wa nchi?
Unajua nguvu alizonazo RAIS?
Unajua maana ya ORDER?
sio lazima mtu uchangie kila thread!!!
Sio wote humu ni great thinkers,tusaidiege kwa kuandika kiasi hata sisi mbumbumbu tueleweLowassa akiwa rais hotuba yake ya kwanza atasema kwamba yeye atakuwa rais wa wote. Hayo ndiyo maneno watu wanataka kumsikia anayasema sasa.
sawa yeye alipewa order ya kuhakikisha umeme unapatikana haraka, ila akageuza hiyo order na kuaminiwa kupiga deal kila mtu anajua, na hiyo boss wake hakumtuma apige deal, Boss wake alimtuma na kumwamini ahakikishe umeme unapatikana haraka na si madudu aliyoyafanya aibu tupu
Nani niliyekuwa nampelekea ripoti ya maendeleo ya mchakato kama siyo wewe?
Kwa nini mnaendelea kunizushia kuwa mie fisadi
wakati nilikuwa natii agizo kutoka juu?
SOMA TENA KISHA UENDELEE KUCHANGIA!!!!
ni hivi Lowassa alikuwa anatekeleza analoambiiwa order ya kuwa richmond lazma ishinde tenda ilitoka kwa raisi.Rais hawez kuandika memo direct kwenda wizara lazima apitia kwa waziri mkuu LOWASSA ALIPEWA ORDER KWAMBA HAKIKISHE RICHMOND INASHINDA KWA NAMNA YEYOTE ILE.kila kitu na madudu yote alofanya fisadi lowasa kuhusu richmond saga yapo kwenye hansadi za bunge. Mfano kuingilia mchakato wa manunuzi n.k tena inasemekana hadi memo alizokuwa ana lazimisha kwamba tenda lazima ipewe richmond vipo vimekuwa attached kama ushahidi.
jizi ni jizi tu
toa hearsay zako hapo ww unaamini aliyoyasema ndio ukweli? je unauhaka gani kuwa ndicho alichosema while cc inakaa closed meeting?
hivi watz mtaacha lini hizi barabara?