ni hivi Lowassa alikuwa anatekeleza analoambiiwa order ya kuwa richmond lazma ishinde tenda ilitoka kwa raisi.Rais hawez kuandika memo direct kwenda wizara lazima apitia kwa waziri mkuu LOWASSA ALIPEWA ORDER KWAMBA HAKIKISHE RICHMOND INASHINDA KWA NAMNA YEYOTE ILE.
kife na kuchomwa moto na majivu ya tupwe kwenye kina kirefu baharini !!Kife chama cha mapinduzi.......kifeee.!!
Nasisitiza anayejua issue hii ni mkulu
greatthinkers,
hii ni kutoka chumba cha cc ya chama pale dodoma
el-akanyanyuka na kusema"
nani aliyenipigia simu afrika kusini kwamba rudi nchi iko gizani ni nani kama wewe?
Nani niliyekuwa nampelekea ripoti ya maendeleo ya mchakato kama siyo wewe?
Kwa nini mnaendelea kunizushia kuwa mie fisadi wakati nilikuwa natii agizo kutoka juu?
Nashindwa kuwa mvumilivu hivi mimi nikianza kuropoka mikataba yote tata nani atakeyebaki?
Mara mkapa akasimama, mw/kiti nadhani hili suala la kujivua magamba lisitishe kwanza.baada ya hapo ishu zote za kujivua magamba zikasitishwa