Mkuu
DSN ngoja niweke clear hapa, mimi simshabikii mtu, wala sina habari za team Lowasa sijui team Membe etc, ninachosema hapa ni kwamba issue ya bifu la Nyerere na Lowasa bado sioni kama ni point kubw ya kum disqualify Lowasa, zipo points kubwa zenye mashiko bana, sio issue ya kutohudhuria msiba wa Nyerere.
Alafu niite hizi hoja kama siasa za maji taka yaani msiba wa Nyerere ulitokea tarehe 14 October 1999, leo ndo muanze kusema Lowasa hakuhudhuria msiba wa Mwalimu?
Kisa nini kwa sababu anataka kugombea urais? Mbona hamkusema hizi hoja wakati anaapishwa kua waziri mkuu??
Kwa siasa hizi tutabaki kua maskini kila karne.
Mtazamo wangu
Lowasa angekua dis qualified kwa mambo mengine kama rushwa, haya ndo yenye kugusa maslahi ya taifa moja kwa moja sio msiba wa mtu mara bifu lao wenyewe unataka liwe bifu la taifa.