Lowassa hakudhuria Msiba wa Mwalimu Nyerere

Lowassa hakudhuria Msiba wa Mwalimu Nyerere

kwani nyerere ni nani lazima mtu ukazike
na kushiriki maziko akishiriki mmoja ni sawa mmeshiriki wote acheni kutukuza watu
unaweza kukuta wewe uliyepost hata kaburi la babu yako hulijui

Do u knw maana ya public figure?
 
Kama mnazania ni Porojo wamwambie aende...jua Mwalimu anatoka ukoo wa Kichifu na koo yoyote ya kichifu ina mambo yake...i hope alishaambiwa na watu wazima kwa hiyo msimpump asahau mambo watu wazima waliokwisha mwambia siku hizo yakamfanya ASIKANYAGE BUTIAMA kwa FAIDA YAKE.

Atatoka busha wallah
 
Mnavyoongea saizi yuko musoma kuhuzuria mazishi ya mtoto wa nyerere naona povu linawatoka
 
Hata kama si mshabiki wa Lowasa lakini sioni kama kuna ulazima
wa kuelewana na kila mtu, Nyerere ni binadamu wa kawaida tu
hakuwa nabii hivyo kutofautiana na kutoelewana kwake na Lowasa
sio sababu ya kumnyima Fursa ya kuwania uraisi, labda kama kuna
mambo mengine lakini si hilo.

ebhaneeeeee mkuu umenena kitu heko knoma
 
sio kila familia ya kiongozi inauhusiano wa kindugu au kirafiki na familia nyingine ya kiungozi, ana haki ya kwenda au kutokwenda, after all family ya nyerere kama alivyokuwa baba wa taifa anamwona ni mwizi tu huyo na alijihuzuru kwa kashfa ya wizi pia.
 
kwani nyerere ni nani lazima mtu ukazike
na kushiriki maziko akishiriki mmoja ni sawa mmeshiriki wote acheni kutukuza watu
unaweza kukuta wewe uliyepost hata kaburi la babu yako hulijui

Hakwenda kumzika Baba anapata nini kwenye mazishi ya mwana kama ni mbinu zake za Kampeni. Huu ni unafiki wa hali ya juu sana. wamzomee na wala wasimkaribishe.
 
Naomba kuthibitishiwa kama ni kweli kuwa Edward Ngoyai Lowasa hakuhudhuria maziko ya marehemu baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
 
Lowassa amefika kanisani muda mfupi baada ya misa kuanza. Amehudhuria mazishi. Ameweka mchanga katika kaburi.

Naona kama amekuja kufanya siasa msibani mahala ambapo siyo sahihi kufanyia siasa hilo kundi lake la watu wa friends of lowasa linamuharibia
 
Hata kama si mshabiki wa Lowasa lakini sioni kama kuna ulazimawa kuelewana na kila mtu, Nyerere ni binadamu wa kawaida tu hakuwa nabii hivyo kutofautiana na kutoelewana kwake na Lowasasio sababu ya kumnyima Fursa ya kuwania uraisi, labda kama kunamambo mengine lakini si hilo.
gazeti, hilo jamaa nijizi sana lipo kupiga dili tu, na kujaza wapambe wa kulipigi debe kila mahali, lowasa hafai kuongoza nchi, hasa yenye taasisizisizo imara kama hiiyetu,ataiba kila kitu.
 
Kuna siku niliwahi kusema humu kuwa lowasa akija kuwa rais kitu cha kwanza ataamuru kaburi la Mwalimu lichapwe viboko
 
gazeti, hilo jamaa nijizi sana lipo kupiga dili tu, na kujaza wapambe wa kulipigi debe kila mahali, lowasa hafai kuongoza nchi, hasa yenye taasisizisizo imara kama hiiyetu,ataiba kila kitu.
Ni sawa kama tutauzungumza huo wizi wake kwa Ushahidi wa kutosha si kwa
maneno ya kusikia, lakini si hili la kuhudhuria mazishi ya Mwalimu, kuzika ni Ibada
kama Ibada zingine hivyo tusimshupalie mtu ambaye hajahudhuria Ibada ya Mazishi.
 
Njooni Arusha Jumamosi tarehe 16 mumsikie akitoa maamuzi magumu!
1907513_966068363427614_4736803703485890492_n.png

Lowasa namfananisha na mbwa
 
Back
Top Bottom