Lowassa hakudhuria Msiba wa Mwalimu Nyerere

Lowassa hakudhuria Msiba wa Mwalimu Nyerere

Jamani hii mijadala inaibua hisia tofauti, kipindi choote hicho kumbe watu walikuwa wameyaweka moyoni tu. Daaa! Tutasikia mengi.
 
Waulize viongozi wenzie walikuwa wanafuata nini BUTIAMA kabla na baada ya kuwa Viongozi wa Kitaifa.Hivi mandera ana umuhimu gani mpaka kusimamisha DUNIA siku ya MSIBA wake JIULIZE [Mtoto wa Kichifu=Nyerere].Mwalimu Nyerere ndiye aliyemjenga Mandera.Siku Mwalimu anatangazwa na Rais Benjamini William mkapa kuwa amefariki TANZANIA ilizizima kama ilivyozizima msiba wa marehemu Sokoine.Sasa kama TAIFa linazizima leo hii mtu aliyepata kuwa WAZIRI MKUU asisimukwe na tukio linalo muhusu Mzee yule basi HATAREEEE.

Sasa hoja yako ni nini hapa?

Naona kama unaongelea uwepo wa nguvu za giza kwenye familia ya Mwalimu Nyerere!!
 
Du... mimi pia sikuhudhuria msiba wala mazishi ya Nyerere...na hadi leo sijawahi kwenda butiama ili angalau nikajue huyo Nyerere alizikwa wapi...je nami mzimu wa Nyerere utanizukia siku nikienda huko!!
 
Njooni Arusha Jumamosi tarehe 16 mumsikie akitoa maamuzi magumu!
1907513_966068363427614_4736803703485890492_n.png
 
lowassa anahukumiwa na historia ya kutokuwa na mahusiano mazuri na familia ya mwalimu nyerere. Lowassa hajawahi kufika butiama tangu mwalimu afariki.

Lowassa hakuhudhuria msiba wa baba wa taifa. Ni mgombea pekee wa urais ambaye hajui kaburi la baba wa taifa liko wapi.

Inasemekana alishangilia na kufanya tafrija fupi monduli wakati watanzania wanaomboleza mwezi mzima butiama.

Huyu hakuwa na mahusiano mazuri na mwalimu aliyependa viongozi waadilifu. Lowassa kakwepa mara nyingi kwenda butiama kwasababu ya kuogopa mzimu wa nyerere. Nafsi inamsuta kwasababu hakudhuria mazishi ya mwalimu, doa na kumbukumbu hii haiwezi kufutika hata awe nani leo mpaka kesho.

Leo anagombea urais, umepatikana msiba wa kijana wa mwalimu, marehemu john nyerere inasemwa lowassa atakwenda butiama, lahaula! Kwasababu gani?

Au kwakuwa msiba umevuta hisia za wengi? Au kwasababu msiba umetokea kipindi muhimu kuelekea uchaguzi? Kwasababu msiba utakusanya walio wengi wa muhimu? Au kwakuwa kwasasa itakuwa rahisi kujulikana kuwa hukuhudhuria?

Mbona sijakuona msasani dar es salaam?? Maana unavyopenda picha zingekuwa magazetini.

Acha unafiki kama hufika msiba wa baba wa mtoto wake unakusibu nini? Sikatalii msiba la hasha! Ni mshangao kama lowassa amesahau kuwa mzimu wa nyerere bado upo na unaishi, utamzukia butiama na kumuangusha?
Maana haujapata kumuona tangu mwalimu amefukiwa mwitongo.

Leo familia itashangaa, wazee wa zanaki watashangaa, wanaojua siri hii watakushangaa.

Nenda lakini mzimu wa mwalimu unakusuta! Ulikuwa wapi siku zote?
nakumbuka kuna watu walikwenda katika huo msiba
kwa ndege za kukodi,jioni wanapanda ndege kwenda kulala nairobi
asubuhi wanarudi msibani.
Labda alikosa sehemu ya kulala.
You know ''lower sir''?
 
Lowassa anahukumiwa na Historia ya kutokuwa na Mahusiano mazuri na Familia ya Mwalimu Nyerere. Lowassa hajawahi kufika Butiama Tangu Mwalimu afariki.

Lowassa hakuhudhuria Msiba wa Baba wa Taifa. Ni Mgombea pekee wa Urais ambaye hajui kaburi la Baba wa Taifa liko wapi.

Inasemekana alishangilia na kufanya tafrija fupi Monduli wakati Watanzania wanaomboleza Mwezi Mzima Butiama.

Huyu hakuwa na Mahusiano mazuri na Mwalimu aliyependa viongozi waadilifu. Lowassa kakwepa mara nyingi kwenda Butiama kwasababu ya kuogopa Mzimu wa Nyerere. Nafsi inamsuta kwasababu hakudhuria Mazishi ya Mwalimu, Doa na kumbukumbu hii haiwezi kufutika hata awe nani leo mpaka kesho.

Leo anagombea Urais, umepatikana msiba wa kijana wa Mwalimu, Marehemu John Nyerere inasemwa Lowassa atakwenda Butiama, Lahaula! Kwasababu gani?

Au kwakuwa Msiba umevuta hisia za wengi? Au kwasababu Msiba umetokea kipindi muhimu kuelekea uchaguzi? Kwasababu msiba utakusanya walio wengi wa Muhimu? Au kwakuwa kwasasa itakuwa rahisi kujulikana kuwa hukuhudhuria?

Mbona sijakuona Msasani Dar es Salaam?? Maana unavyopenda picha zingekuwa Magazetini.

Acha unafiki kama hufika Msiba wa Baba wa Mtoto wake unakusibu nini? Sikatalii msiba la hasha! Ni mshangao kama Lowassa amesahau kuwa Mzimu wa Nyerere bado upo na unaishi, utamzukia Butiama na kumuangusha?
Maana haujapata kumuona tangu Mwalimu amefukiwa Mwitongo.

Leo Familia itashangaa, Wazee wa Zanaki watashangaa, Wanaojua siri hii watakushangaa.

Nenda lakini Mzimu wa Mwalimu unakusuta! Ulikuwa wapi siku zote?

Yesu alisema nanukuu "waacheni wafu wazike wafu wenzao" mwisho wa kunukuu

Nadhani nitakuwa nimekulipa cash, sio kwa installment,.
 
Lowasa ni mtu hatari sana mwenye roho mbaya sana hatufai kuwa Rais hafai kabisaaa!!!!
 
Lowassa anahukumiwa na Historia ya kutokuwa na Mahusiano mazuri na Familia ya Mwalimu Nyerere. Lowassa hajawahi kufika Butiama Tangu Mwalimu afariki.

Lowassa hakuhudhuria Msiba wa Baba wa Taifa. Ni Mgombea pekee wa Urais ambaye hajui kaburi la Baba wa Taifa liko wapi.

Inasemekana alishangilia na kufanya tafrija fupi Monduli wakati Watanzania wanaomboleza Mwezi Mzima Butiama.

Huyu hakuwa na Mahusiano mazuri na Mwalimu aliyependa viongozi waadilifu. Lowassa kakwepa mara nyingi kwenda Butiama kwasababu ya kuogopa Mzimu wa Nyerere. Nafsi inamsuta kwasababu hakudhuria Mazishi ya Mwalimu, Doa na kumbukumbu hii haiwezi kufutika hata awe nani leo mpaka kesho.

Leo anagombea Urais, umepatikana msiba wa kijana wa Mwalimu, Marehemu John Nyerere inasemwa Lowassa atakwenda Butiama, Lahaula! Kwasababu gani?

Au kwakuwa Msiba umevuta hisia za wengi? Au kwasababu Msiba umetokea kipindi muhimu kuelekea uchaguzi? Kwasababu msiba utakusanya walio wengi wa Muhimu? Au kwakuwa kwasasa itakuwa rahisi kujulikana kuwa hukuhudhuria?

Mbona sijakuona Msasani Dar es Salaam?? Maana unavyopenda picha zingekuwa Magazetini.

Acha unafiki kama hufika Msiba wa Baba wa Mtoto wake unakusibu nini? Sikatalii msiba la hasha! Ni mshangao kama Lowassa amesahau kuwa Mzimu wa Nyerere bado upo na unaishi, utamzukia Butiama na kumuangusha?
Maana haujapata kumuona tangu Mwalimu amefukiwa Mwitongo.

Leo Familia itashangaa, Wazee wa Zanaki watashangaa, Wanaojua siri hii watakushangaa.

Nenda lakini Mzimu wa Mwalimu unakusuta! Ulikuwa wapi siku zote?

Na bado tutayaona mengi!
 
GAZETI acha kurahisisha mambo,lowasa kutohudhuria msiba wa aliyekuwa mwasisi wa taifa hili ni dhahiri hafai kuwa kiongozi wa taifa hili....maana kutohudhura msiba huo ni kutokuwa na uvumilivu wa kiasa maana mwalimu alikuwa hamkubali lowasa hata kidogo ndio maana akalipiza kisasi kwa mwalimu na sisi pia tutalipiza kisasi kwenye sanduku la wapiga kura.
 
Sasa hoja yako ni nini hapa?

Naona kama unaongelea uwepo wa nguvu za giza kwenye familia ya Mwalimu Nyerere!!
Nguvu a giza wazijua wewe na ndio maana umezizungumzia kwa kuwa ziko kwenye mindset yako zinaishi na wewe.Nitafutie sehemu nilikoshuhudia hapa story za Nguvu za giza.!!Nimesema kila koo zina JADI yake jadi sio nguvu za GIZA.Jadi ni tamaduni za ASILI za mababu toka koo hadi koo, kabila hadi kabila,chief moja kwenda chief nyingine [Acha akili za kukodiwa]. Kwa kutambua hilo ndio maana viongozi upewa Ngao, Mgolole na Mkuki kisha wanakarishwa kwenye kigoda kama ishara ya kuwa viongozi wetu katika shughuri mbalimbali za kijamii na maeneo tofauti tofauti...Unajua maana yake au upo upo tu...ndio maana mnatuletea shida HAMJUI ASILI YA KWENU.Kila Munu Ave na Kwao-Tongolanga
 
Hivi Mwalimu alishiriki msiba wa Kambona?
 
Misiba ya Kitanzania hata mtu awe na majonzi vipi ya kufiwa huwa anaangalia nani kaja nani hajaja kwenye msiba matokeo kila mtu anahangaika mpaka amshike mkono mfiwa ili aonekane ana kwa ana vinginevyo baada ya msiba ni kesi hata kama ulitingwa kwa baadhi ya mambo
 
Anekosea kufanyia Arusha, angefanyia Dar es Salaam; hapo ndio angetikisa
Maamuzi magumu yanaanzia Arusha halafu anakwenda mikoani si unajuwa asilimia kubwa ya Friends of Lowassa wako Arusha!
 
Hivi Mwalimu alishiriki msiba wa Kambona?

Kambona and Nyerere remained political enemies until the end of their lives. When Kambona died in July 1997, Nyerere did not even attend his funeral. But his son Andrew Nyerere did, as he stated in his correspondence with Godfrey Mwakikagile, quoted in Mwakikagile's book, Nyerere and Africa: End of an Era. See Andrew Nyerere's letter in chapter 13 of the book, p. 365.''

This is to say Spiritually he was there pamoja na tofauti zao ...za uso kwa uso na ndio maana mwanae Andrew Nyerere alimwakilisha...hiyo ndio BUSARA.
 
Maamuzi magumu yanaanzia Arusha halafu anakwenda mikoani si unajuwa asilimia kubwa ya Friends of Lowassa wako Arusha!

Na hii ndio sababu itakayofanya chochote atakachofanya Arusha kisionekane tishio.

Kama anahitaji kuonyesha jinsi anavyokubalika alipaswa afanye mkutano huo kwenye kiwanja cha ugenini, angetikisa jangwani basi angelitikisa taifa na kuitetemesha CCM lakini ya Arusha haitamtisha yeyote.
 
Na hii ndio sababu itakayofanya chochote atakachofanya Arusha kisionekane tishio.

Kama anahitaji kuonyesha jinsi anavyokubalika alipaswa afanye mkutano huo kwenye kiwanja cha ugenini, angetikisa jangwani basi angelitikisa taifa na kuitetemesha CCM lakini ya Arusha haitamtisha yeyote.
Lowassa anakubalika nchi yote sio jangwani tu - kama huna nauli ya kuja Arusha nitumie number yako nikurushie nauli!
 
Nguvu a giza wazijua wewe na ndio maana umezizungumzia kwa kuwa ziko kwenye mindset yako zinaishi na wewe.Nitafutie sehemu nilikoshuhudia hapa story za Nguvu za giza.!!Nimesema kila koo zina JADI yake jadi sio nguvu za GIZA.Jadi ni tamaduni za ASILI za mababu toka koo hadi koo, kabila hadi kabila,chief moja kwenda chief nyingine [Acha akili za kukodiwa]. Kwa kutambua hilo ndio maana viongozi upewa Ngao, Mgolole na Mkuki kisha wanakarishwa kwenye kigoda kama ishara ya kuwa viongozi wetu katika shughuri mbalimbali za kijamii na maeneo tofauti tofauti...Unajua maana yake au upo upo tu...ndio maana mnatuletea shida HAMJUI ASILI YA KWENU.Kila Munu Ave na Kwao-Tongolanga

Mkuu DSN ngoja niweke clear hapa, mimi simshabikii mtu, wala sina habari za team Lowasa sijui team Membe etc, ninachosema hapa ni kwamba issue ya bifu la Nyerere na Lowasa bado sioni kama ni point kubw ya kum disqualify Lowasa, zipo points kubwa zenye mashiko bana, sio issue ya kutohudhuria msiba wa Nyerere.

Alafu niite hizi hoja kama siasa za maji taka yaani msiba wa Nyerere ulitokea tarehe 14 October 1999, leo ndo muanze kusema Lowasa hakuhudhuria msiba wa Mwalimu?

Kisa nini kwa sababu anataka kugombea urais? Mbona hamkusema hizi hoja wakati anaapishwa kua waziri mkuu??

Kwa siasa hizi tutabaki kua maskini kila karne.

Mtazamo wangu

Lowasa angekua dis qualified kwa mambo mengine kama rushwa, haya ndo yenye kugusa maslahi ya taifa moja kwa moja sio msiba wa mtu mara bifu lao wenyewe unataka liwe bifu la taifa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom