darling one
Member
- May 4, 2015
- 46
- 13
Hivi usipoenda kwenye msiba wa Nyerere basi huna sifa ya kuongoza?
Kwanini Nyerere tunamfanya Mungu kiasi hiki? Jamani hivi na hii nayo hoja ya kumfanya mtu asichaguliwe? Mi nadhani tusifike hatua ya kuangalia mgogoro wa mtu binafsi na mwenzake, kwani wewe mleta mada kama uliwahi kukosana baba riz ukiomba uongozi tusikuchague kisa una bifu na baba riz?
EL ahukumiwe na mchango wake duni wakati wa uongozi wake kama upo, ahukumiwe na matendo yake yasiyofaa kama kuhusika na rushwa, ahukumiwe tabia yake chafu ya kuhonga watu fedha etc.
Hili la msiba halina mashiko sana.
Ni mtazamo wangu tu.
Mwl Nyerere ana significance kubwa sana kwenye taifa hili. Ana mchango mkubwa sana kwenye taifa hili,Alikua ni msaada mkubwa sana kwenye taifa hili. Taifa hili limekua hivi kwasababu yake yeye. Heshima yake lazima iwepo.Anapotokea mtu yoyote ambae atabishana nae huyo mtu atakua anafananishwa na mtoto mwenye kiburi tena ni wa kumuogopa kabisa. If you can not respect someone who knows better and more than you wewe ni mtu wa aina gani? Utapeleka taifa wapi?
Au unasemaje natoka hapa?