alafu wanawapinga baadhi ya mawaziri walioteuliwa wanasema ni mafisadi kwa sababu ya kashfa zao lakini mtu mwenye sifa kama za hao m wanamsimamisha kugombea urais nafasi nyeti kuliko zote.....inawezekana ikawa ni kashfa za kweli ama uongo kwa pande zote mbili kwa sababu ukweli wanaujua wahusika sisi tunachofanya ni kuhisi tu na tunahukumu kwa hizo hisia alafu leo hii unathubutu kumjooshea mwenzako kidole watu wanahitajika kupimwa akili kweliHilo swali Nimeshindwa kulipatia jibu. Huwa Najiuliza sana ni kipi hasa kinachowafanya watu wamshabikie mtu usieweza kumtetea Kwa hoja za msingi hata kama ujitie wehu.
Kwani lowassa kafisidi kitu gani mkuuNadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
upo sawaWote wanafiki tu hao
Ni kweli but nafasi hiyo ya ufisadi mkuu inashuliliwa na watu wawili tz.Nadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
Hahaha Nyumbu wana subiria Rais waohivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
Hahaha kiukweli nimejikuta natoa sauti ya kicheko du!We jamaa ile hosp ya dodoma inakhs!
Wanamatatizo hawaNdoto ya saa tano Asubuhi hii atashinda kesi kwa katiba IPI?
Hawa wasanii wakichungaji waliishi kifalme akipata Mia inaingia mfukoni kama ilivyo hakuna kukatwa kodi sasa lazma walipe kodi ndo maana wanaanza leta maigizo
Rais Wa NyumbuKama Rais wa twiga star hapo sawa lakini kuwa Rais wa tanzania hapana.
Rais Wa Nyumbu
Acha kuwavunja moyo NyumbuHakuna mahakama yenye huo uwezo dunia nzima
Kwani kichwa cha habari kimekosewa!?mnaona raha kusoma vichwa vya habari na kuposti huku mkijadili. Nani kaisoma habari hiyo katika kurasa za ndani ya gazeti hilo? tunahitaji jamii yenye uwezo wa kupembua habari hizo kiundani kabla hamjaanza kuchangia hoja hiyo. Binafsi mpaka niisome ndo nichangie.
Watu wa pwani katika ubora wenuNadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
mkuu achana na popoma Hilo.... Halafu rekebisha kidogo hapo kwenye signature yake weka BOSI instead of basi.Watu wa pwani katika ubora wenu
Hakuna kitu kama team lowassa mkuu...ukiangalia kwa ukaribu utagundua team lowassa imegawanyika makundi mawili...Hata wewe ni mnafiki, teamlowassa kumponda Gwajima ni unafiki.