Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
You are late...hajakuwa first to replyBe first to reply
You are late...hajakuwa first to replyBe first to reply
Gwajima na Lowasa wamegeuka kituko kama wajenzi wa mnara wa babeli.Hata wewe ni mnafiki, teamlowassa kumponda Gwajima ni unafiki.
Mpk wenzako tunaenda mbingun haitakuja tokea akawa Raishivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
Hahhhahaha ndoto zingine buanaaa.....hivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
Nijuacho mie Magufuli ni Rais dhaifu asiyeweza kabisa washughulikia mafisadi papa kama Lowassa.Nadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
Hakuna mahakama yenye huo uwezo dunia nzimahivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
ndugu yangu unapaswa upimwe akili. Au una malezi ya upande mmoja? Labda ulilelewa na mama wa kambo?Lowasa na gwajima wote mbugila tu hawana la maana hata moja wamepwelewa.
Yah nikweli, lakini vipi ule mpango wako wa kutaka uwe mtoto wa Lowassa mpaka ukawa unafoji majina Lizaboni Lowassa hivi ulifeli vipi mkuu?Nadhani kama ni emuelewa Assadsyria hapa anayesemwa mnafiki ni Mchungaji Gwajima. Si Lowasa. Lowasa anabaki na sifa yake kuu ya Fisadi Mkuu ambayo hakuna aliyempokonya mpaka sasa. Ataendelea kutambulika kuwa ndiye fisadi mkuu kuwahi kutokea hapa Tanzania
hakika inashangaza kwa jinsi kolabo ya wanafiki wanavyorukana baada ya kukwaa kisiki. wanasiasa wana kawaida kutaka kuungwa mkono na mtu yeyote mwenye ushawishi hata kama ni shetani. mchungaji feki gwajima eti anamruka laigwenan lowassa wakati alijidai wanaompinga wanywe sumu.hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
mateja hupata picha wakikata mitaa NY marekani, wakiwa na warembo wakila raha, wakimiliki majumba ya kifahari, magari ya bei mbaya n.k. kumbe wamejilaza pale coco beach.hivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa
Aaaaaah lizabon.........Katika siku ambazo naweza kukuunga mkono basi ni leo. Tangu Magufuli ameingia kiwewe, hujawahi kuappreciate kazi zake. Ila leo umeadmitt kuwa Magufuli kaleta kiwewe kwa mafisadi. Ahsante sana
hivi hamyajui magazeti yetu?????hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.
Kweli magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
Kama wewe....hii nchi inawanafiki wengi sana
Sasa unamtukana nani, mleta mada au gazeti? Akili za kijinyea hizo.Uwongo tu lowasa hajatamka hivyo massengeh nyinyi