Lowassa: Gwajima ni mnafiki

Lowassa: Gwajima ni mnafiki

Acheni kumzushia mzee lowassa. Hawezi jibizana ujinga. Amenyamaza mangapi!
 
Hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.

Kweli Magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
It is a matter of time, haters and hypocrites will soon give a loud cry
 
lowassa si mnafiki labda mtu awe hajui tafsiri sahihi ya neno MNAFIKI
Zifuatazo ni alama kuu za mnafiki:
1.Anaposema husema uongo
2.Akiaminiwa hufanya hiana
3.
lowassa si mnafiki labda mtu awe hajui tafsiri sahihi ya neno MNAFIKI
Zisome alama kuu tatu za mnafiki kama ifuatavyo;
1.Akisema husema uongo.
2.Akiahidi hatimizi ahadi zake
3.Akiaminiwa hufanya hiana.
 
Tumesikia mengi kuhusu Lowassa kuhamia CHADEMA. Waasisi watatu wa Lowssa kuhamia Chadema ni Dr. Slaa, Freeman Mbowe na Mshenga Gwajima. Tangu Lowassa ahamie Chadema na kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho na kushindwa kwake, tumekuwa tukisia maneno maneno kati ya Gwajima, Dr. Slaa na sasa ni maneno kati ya Dr. Slaa, Gwajima na Lowassa. Dr. Slaa vs Gwajima na Gwajima vs Lowassa.

Ukimya wa Mbowe kuongelea sakata hili linatuambia nini? Hajui kinachoendelea? Kuna kitu anaogopa akitia neno kitamrudia? Au ni mstaarabu?

Nathamani kusikia neno kutoka kwa MBOWE, mwenyekiti wa Chadema Taifa. KIU YANGU KUBWA NI MBOWE ANAMZUNGUMZIAJE GWAJIMA hasa baada ya Gwajima kusema hakuwahi kumuunga mkono Lowassa bali mabadiliko.
Hofu yangu: Mbowe akifungua kinywa chake kumzungumzia Gwajima yanaweza kumtokea puani, LABDA aamue kumsema kwa mazuri, jambo ambalo pia ni gumu kwa sababu atakosa MAZIWA.
 
Haujui kuwa Gwajima anarekodi kila mazungumzo. Hata ukienda kutubu anakurekodi sasa unafikiri hakuwarekodi kina Mbowe? Sasa ndio Chadema watajua faida ya kudeal na machizi.
 
Haujui kuwa Gwajima anarekodi kila mazungumzo. Hata ukienda kutubu anakurekodi sasa unafikiri hakuwarekodi kina Mbowe? Sasa ndio Chadema watajua faida ya kudeal na machizi.
Hahaa, umekumbusha mkuu. Mbowe atakuwa anahaha kuipata sauti aliyorekodiwa ili apoteze ushahidi.
 
Hivo ndivo linavosomeka gazeti la WEMBE, huenda ameback fire ile kauli ya Gwajima aliodai hakuwahi kumuunga mkono ilhali hata mwendawazimu hahitaji evidence ili ajue Gwajima ni muongo au ni mkweli.

Kweli Magufuli kaleta kiwewe, MTU akifikria anatembelea hammer, helkopter, anaishi kwenye mahekalu, imebidi kujipendeza najua ushaelewa kinacholindwa hapo.
Mkuu naomba uzingatie matumizi na maana sahihi ya neno "Back fire" tafsiri ya moja kwa moja kwenda Kiswahili inaleta maana potofu kabisa issiyo sahihi
Naamini kwa kutumia neno hilo ulikuwa na maana response, hit back nk
Naomba kuwasilisha
 
Tumesikia mengi kuhusu Lowassa kuhamia CHADEMA. Waasisi watatu wa Lowssa kuhamia Chadema ni Dr. Slaa, Freeman Mbowe na Mshenga Gwajima. Tangu Lowassa ahamie Chadema na kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho na kushindwa kwake, tumekuwa tukisia maneno maneno kati ya Gwajima, Dr. Slaa na sasa ni maneno kati ya Dr. Slaa, Gwajima na Lowassa. Dr. Slaa vs Gwajima na Gwajima vs Lowassa.

Ukimya wa Mbowe kuongelea sakata hili linatuambia nini? Hajui kinachoendelea? Kuna kitu anaogopa akitia neno kitamrudia? Au ni mstaarabu?

Nathamani kusikia neno kutoka kwa MBOWE, mwenyekiti wa Chadema Taifa. KIU YANGU KUBWA NI MBOWE ANAMZUNGUMZIAJE GWAJIMA hasa baada ya Gwajima kusema hakuwahi kumuunga mkono Lowassa bali mabadiliko.
Hofu yangu: Mbowe akifungua kinywa chake kumzungumzia Gwajima yanaweza kumtokea puani, LABDA aamue kumsema kwa mazuri, jambo ambalo pia ni gumu kwa sababu atakosa MAZIWA.
mkuu yaan amini usiamin mbowe ndo 'HUB' ya haya yote
 
Mkuu naomba uzingatie matumizi na maana sahihi ya neno "Back fire" tafsiri ya moja kwa moja kwenda Kiswahili inaleta maana potofu kabisa issiyo sahihi
Naamini kwa kutumia neno hilo ulikuwa na maana response, hit back nk
Naomba kuwasilisha
nenda jukwaa la lugha
 
hivi Gwajima hajui Lowasa atakuwa rais muda si mrefu? Lowasa lazima ashinde kesi mahakama ya kimataifa na urais wa magufuli utatenguliwa

Ha ha ha eti kesi ya mahakama ya kimataifa ha ha.
Ngoja nisafishe stress za 2015
 
Back
Top Bottom