Lowassa: CCM isijidanganye

Edo, hawezi kuwa rais Wa nchi hii never ever, may b nchi iwe gizani na wapigakula wote wawe Wa A.town

bila hvyo hawezi, na Sabah kubwa ni 1yy ni fisadi no 1, yy anajua na watz wote tunajua,
Mkuu huu uandishi wako Mungu anakuona. "wapigakula = wapigakura" mara uchanganye herufi kubwa katikati
 
Kweli alisema tukipewa ridhaa CCM tupige kazi kweli kweli naona USHAURI wake unazingatiwa na Awamu ya 5 ,kazi inapigwa HASA.
 
 
Hivi ni lazima kutumia kiingereza na kiswahili muda mmoja?? nahisi ungeendelea na kiswahili tu ningekuelewa hta kma tunatofautiana mawazo naheshim maoni yako ila kma hujui lugha vizuri sio lazima uitumie humu ilimradi uonekane msomi.... GROW UP
kuna watu hawajitambui dhahir kwa comment zao kama ww, kiingereza na kiswahili na wewe umefanya nin, mboga
 
Haitawezekana hata siku moja UKAWA inayoongozwa na Lowassa ikaitoa CCM
 
Maneno ya wanasiasa matamu amesahau alisema nn wakt yuko ccm
 
Ccm wataongoza milele na sisi tutataabika milele..
 
kuna watu hawajitambui dhahir kwa comment zao kama ww, kiingereza na kiswahili na wewe umefanya nin, mboga
nimesisitiza kwa lugha unayoielewa hapo mwishoni. Mix kama unaweza sio poor grammar kama yako utafkiri upo vidudu. inakera sana kuendekeza ukoloni hadi kwenye lugha
 
Uzi Wa Lumumba ona mnavyojimwaga, mmekurupuka vilabuni mnamuwaza lowasa? yatawashinda
 
Edo, hawezi kuwa rais Wa nchi hii never ever, may b nchi iwe gizani na wapigakula wote wawe Wa A.town

bila hvyo hawezi, na Sabah kubwa ni 1yy ni fisadi no 1, yy anajua na watz wote tunajua,
Huku A-Town tayari tulishamkataa bro ndo maana akifanya mkutano anakodi magari toka kona zote za mikoa jirani na A-town kubeba watu aonekane anapendwa sana.
 
Huku A-Town tayari tulishamkataa bro ndo maana akifanya mkutano anakodi magari toka kona zote za mikoa jirani na A-town kubeba watu aonekane anapendwa sana.
cha kushangaza cdm wanamtaka agombee tena 2020,

cjui hawajitambui? anyway wanahitaji mtalaam Wa kisaikolojia..
 
Sasa wewe unafikiri umungu mtu utaendelea kuvumiliwa na Mungu aliye hai?kwani huoni Ghana,Gambia ,Zambia ,Kenya, Malawi nk unafkiri vyama tawala huko hawakupenda kung'ang'ania madarakani?
 
nimesisitiza kwa lugha unayoielewa hapo mwishoni. Mix kama unaweza sio poor grammar kama yako utafkiri upo vidudu. inakera sana kuendekeza ukoloni hadi kwenye lugha
Try your best mum, poor grammar sio tatzo langu naona akil yako ndo ina poor grammar, kama hukuelewa mute, kumbuka bibie hujanilipia ada how dare you unabwatuka misli ya mbwea
 
Tunaowamba ccm kama wanajiamini waruhusu uundwaji wa tume huru ya ucuaguzi. Mkifanya hivyo mkashida ndipo mje kutamba. Ni ukweli wa wazi kabisa kwamba matokeo yanuchaguzi yanachakachuliwa hasa katika maeneo ambayo upinzani huna watu jeuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…