Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,368
Lowasa ni mpango wa Mungu,Mungu alimuumba lowasa kutokomboa watanzania
ACT sio wakombozi tena?
Lowasa ni mpango wa Mungu,Mungu alimuumba lowasa kutokomboa watanzania
Lowasa ni mpango wa Mungu,Mungu alimuumba lowasa kutokomboa watanzania
Mpoteza muda kuongea yasiyowezekana, mwanaume anachanja mbuga na tarehe 12/07/2015 wanafiki mtalala na drip ya maji.
President
leo ni zamu ya watu wa mwanza kumwagiwa mapesa.
mkuu una hasira sana na hili fisadi alafu linaumwa we cheki linavyoweka mikono na mdomo utagundua anaumwa sana hawezi hata kupungia watu mikono.Ukizingatia historia yake kiuongozi, elimu yake na matokeo ya madarasani, hoja zake, sauti yake, upangaji wa mada, maana za hotuba anazotoa, na hasa ukiangalia hotuba yake siku ya kutangaza nia utaona kuwa ana upeo mdogo sana na hana uelewa wa kutosha wa mambo. Ana chuki sana, mdomo sura na matendo yake viko mbalimbali, ana hasira sana, ni mtu wa kukurupuka sana bila kufanya utafiti, ni jeuri na ana kisasi sana. Utafiti umeonesha kuwa IQ ya lowasa ni below 30%. Uwezo wake ni kuongoza ng'ombe wala sio watu.
ANAAMINI PESA NI KILA KITU KWAMBA INAWEZA KUWANUNUA WATZ NA AKAWA RAIS WAO.
Nahisi lowasa hata bange anavuta.
Jambazi sugu na fisadi papa na mgonjwa lowasa kamwe hawezi kuwa rais.....
Kweli nilipita mitaa ya Ghandhi hall Mwanza mijitu ya mavazi ya kijani yamelambishwa umatemate baada ya kumdhamini Fisadi,kweli wamevuna Leo hapo ndo imetoka tena since watachinja mapema.....UKAWA on the way to Magogoni
mkuu una hasira sana na hili fisadi alafu linaumwa we cheki linavyoweka mikono na mdomo utagundua anaumwa sana hawezi hata kupungia watu mikono.
Lowasa ni mpango wa Mungu,Mungu alimuumba lowasa kutokomboa watanzania
Bunge limeisha kwani? Halafu mwisho wa mwezi tutamlipa mshahara wakati hajaufanyia kazi.
Arusha wageni walilazwa impala na kibo palce, wavicoster walilala kwenye coster zao! huko mwanza mwalaza hotel gani?