Rihana
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 498
- 250
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.
My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...
My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...