Lowassa atoa kauli kali sana kanisani

Lowassa atoa kauli kali sana kanisani

Rihana

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
498
Reaction score
250
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...
 
Hii nchi ni ya Karume,Mwinyi,Kawawa,Kikwete,Makamba,Nyerere,Nnauye,Rupia,Chenge,Mboma,Rostam!wengine ni wapiga debe tuu
 
Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama....[/QUOTE]

Hii ni kwa mtizamo wako lakini hata mimi ninaweza sema kuwa walikuwa anawaeleza CCM kuacha mambo ya hovyo hovyo ya kwamba UKAWA watakaposhinda Urais watangazwe vinginevyo nchi itawezakuwa vipande vipande.
 
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...

Hii ni nchi ya wezi! Mwenye miliki nayo lazima awe mwizi
 
Kama analijua hilo, atambue kwamba hana sifa za kuwa raisi. Na kwa kuwa nchi hii ni yetu sote, si lazima awe raisi yeye wakati ni fisadi, mpenda rushwa na hafai. Atulie aongozwe!.
 
Kama analijua hilo, atambue kwamba hana sifa za kuwa raisi. Na kwa kuwa nchi hii ni yetu sote, si lazima awe raisi yeye wakati ni fisadi, mpenda rushwa na hafai. Atulie aongozwe!.

Yes anaweza kuwa mtu mwingine yeyote yule siyo lazima yeye tena akome kutisha watu manina zake.
 
Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama....

Hii ni kwa mtizamo wako lakini hata mimi ninaweza sema kuwa walikuwa anawaeleza CCM kuacha mambo ya hovyo hovyo ya kwamba UKAWA watakaposhinda Urais watangazwe vinginevyo nchi itawezakuwa vipande vipande.[/QUOTE]

Anajisumbua jk huwa hatishwi kirahisi hivyo yeye atulie mungu anamjua rais wa nchi hii siyo lazima tuwe na rais mgonjwa bana.
 
Leo ndiyo anaona yetu sote baada ya upepo kuvuma vingine, kama ni yetu sote vipi maelfu ya ekari za ardhi alizojilimbikizia kwa njia za dhuruma
 
kama ni nikweli amesema hivyo ngoja tuone kama ataludisha mali zete alizojimilikisha kiaramu yeye na familia yake
 
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...
Ma presdent is lowassa kuptia chama chochote au mgombea bnafs
 
Kisasi chake cha kwanza kitakuwa kwa watu hawa:
1. Jakaya Kikwete
2. Ridhiwani Kikwete
3. Nape Nnauye
4. Paul Makonda
.
.
.
.
.
............!!!!
 
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...

Hapo kwenye my take ndipo ulipochemka vibaya sana. Mfumo wa utawala wa nchi hii hauwezi kutoa room kwa Lowassa kufanya hayo uyawazayo. Pia ukae ukijua pamoja na mapungufu aliyonayo, maturity ya Lowassa siyo ya kitoto to that level. Mwacheni agombee ni haki yake na akishinda msimwogope mwacheni ajenge taifa
 
Kisasi chake cha kwanza kitakuwa kwa watu hawa:
1. Jakaya Kikwete
2. Ridhiwani Kikwete
3. Nape Nnauye
4. Paul Makonda
.
.
.
.
.
Akipata uraisi ahakikishe hawa watu anahamishia Somalia au Afghanistan
 
Lowassa ana ndoto za kuwa raisi labda wa monduli
 
Lkn Lowasa ni JEMBE na ni Mtu mwenye haiba kubwa ,jasiri aliejizulu kama Mwinyi ambae baadae amekuja kua Rais asiekua na kashfa .
Wengi tunamuunga Mkono na afya yake ni timamu kabisa. Ni wa Pekee kwa wagombea wote. Ni mchapa kazi wa ajabu hata sasa , anaejali sana watu akionekana mara nyingi kwenye majanga mbalimbali yanayowasibu wananchi - anajali Watu - Mungu atamwezesha.
 
Hapo kwenye my take ndipo ulipochemka vibaya sana. Mfumo wa utawala wa nchi hii hauwezi kutoa room kwa Lowassa kufanya hayo uyawazayo. Pia ukae ukijua pamoja na mapungufu aliyonayo, maturity ya Lowassa siyo ya kitoto to that level. Mwacheni agombee ni haki yake na akishinda msimwogope mwacheni ajenge taifa
Ni haki yake, lakini katibu mkuu wa chama ameshasema uadilifu itakuwa kigezo cha kupima wagombea...mimi binafsi sijawahi kumuona huyu mtu ana kwa ana ila nasikia ni tajiri kupindukia na richa ya makandokando yote yanayomzunguka hajawahi kukemea ufisadi au wizi wa mali ya umma ambalo ni swala nyeti sana kwa wakati huu ukizingatia rasilimali gesi tuliyovumbua nchini mwetu.. Je akiwa rais hawezi kufumbia macho wizi kweli huyu???? maana waswahili wanasema nyota nzuri huonekana asubuhi... hakyamungu CCM wakimpitisha huyu simpigii kura
 
Back
Top Bottom