KILLERS KISS GUY
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 718
- 259
sifa za LOWASSA na CCM kwa ujla....lowasa hana sifa za kuwa Raisi wa Tanzania coz atakuja kulipa visasi mpaka watu watakoma, pili ccm kama anataka kufa kibudu amusimamishe Lowassa basi ndo utakuwa mwisho wa MACCM e mungu ibariki Tanzania wabalike UKAWA coz wana dhamila ya kweli kuibadili Tanzania