Lowassa atoa kauli kali sana kanisani

Lowassa atoa kauli kali sana kanisani

Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...

Hapa nakubaliana na Lowasa kuwa wenye nchi hii ni watanzania wote na katiba inasema wazi. Katika kugombea uongozi wowote ule demokrasia lazima itamalaki.

Kwenye kuvua gamba walimshindwa, barua ilienda kwa JK mpaka leo hiko kwenye draw; sasa kwenye Urais watamzuia? Kwa sababu sifa zake ni sawa na za hao walipo madarakani.

Nahisi saa ya CCM kukatika vipande viwili umewadia!!!
 
Sasa mambo hayo na kuwekwa wakfu askofu yanaendana kweli??! Kazi kweli..
 
Nimefedheheshwa sana na kauli ya Lowasa kuwa

"Hakuna mtu mwenye hatimiliki ya nchi hii"

Lowasa atambue kuwa hatugawani nchi, huko Zanzibar Lowasa hafukuzwi uraia bali uanachama wa ccm, tena atambua kuwa ccm ina wenyewe, na wenyewe ndio wanaomfukuza chamani kwa kwenda kinyume na katiba yao
 
Mijitu mingine bwana! Ati ujumbe mzito sana sana! Huo ujumbe mzito sana sana ndio uko wapi?
 
Nimefedheheshwa sana na kauli ya Lowasa kuwa

"Hakuna mtu mwenye hatimiliki ya nchi hii"

Lowasa atambue kuwa hatugawani nchi, huko Zanzibar Lowasa hafukuzwi uraia bali uanachama wa ccm, tena atambua kuwa ccm ina wenyewe, na wenyewe ndio wanaomfukuza chamani kwa kwenda kinyume na katiba yao

Unafedheheshwa na ukweli? Ukweli ndiyo huo.......... Hakuna mwenye Hati miliki ya nchi yetu. Ni mafisadi tu wa CCM wamekufanya uamini hivyo!!
 
Hata Nyerere aliwakusema ccm cyo baba yangu wala siyo mama yangu sasa cha ajabu nini kwa lowassa kusema ivyo?
 
Nimefedheheshwa sana na kauli ya Lowasa kuwa

"Hakuna mtu mwenye hatimiliki ya nchi hii"

Lowasa atambue kuwa hatugawani nchi, huko Zanzibar Lowasa hafukuzwi uraia bali uanachama wa ccm, tena atambua kuwa ccm ina wenyewe, na wenyewe ndio wanaomfukuza chamani kwa kwenda kinyume na katiba yao

Hizi chuki na tamaa za madaraka mtakuja kuipeleka nchi katika macchafuko Luna jambo shetani anataka kulitengeneza kuiangamiza Tanzania. Unamfukuza Lowasa kwa kosa gani
 
Zanzibar kuna issue ya kufukuzana? Kuna mtu ana ubavu kweli wa kumfukuza EL uanachama?
 
hahahahahahha mkuu hahahhah umemmaliza simiyu yetu hahahahahhahahha

Nilikuwa sijamtukana yeyote katika reply yangu, it was a general comment on who will be the next president ambayo hakupashwa kunitukana hivyo. Siwezi kumvumilia hata kidogo, potelea Nairobi, come what may!
 
Kisasi chake cha kwanza kitakuwa kwa watu hawa:
1. Jakaya Kikwete
2. Ridhiwani Kikwete
3. Nape Nnauye
4. Paul Makonda
.
.
.
.
.
............!!!!

Chabruma ni wa kunyonga kabisa
 
Hati miliki anadhani anayo yeye. Anadhani urais lazima uwe wa kwake!
 
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...

Kwa kifupi hafai.
 
Katika ibada ya kuwekwa wakfu askofu wa kanisa la KKKT, mgombea urais wa chini chini kwa ticket ya CCM Edward lowassa ametoa matamshi makali sana dhidi ya watu wanaodhani nchi hii wana hati miliki nayo " Hii ni nchi yetu sote, hamna mtu mwenye hati miliki na nchi hii" Bila shaka alikuwa anapeleka ujumbe mzito sana kwa familia ya Rais, waache kabisa kumpigia debe waziri Membe kinyume cha utaratibu unaoeleweka na chama.

My take: huyu mtu akija pata madaraka atalipiza kisasi kibaya sana...ana hasira sana sana...

===>Waswahili wa pwani nao wameshafanya ni kama yao!
 
Nimefedheheshwa sana na kauli ya Lowasa kuwa

"Hakuna mtu mwenye hatimiliki ya nchi hii"

Lowasa atambue kuwa hatugawani nchi, huko Zanzibar Lowasa hafukuzwi uraia bali uanachama wa ccm, tena atambua kuwa ccm ina wenyewe, na wenyewe ndio wanaomfukuza chamani kwa kwenda kinyume na katiba yao

Acha kuandika UHARO!!Hao unaowaita wenye chama wana usafi gani???Kuanzia mwenyekiti wenu mpaka katibu wana maadili gani??Acha akili ya viroba mkuu!!CCM hakuna msafi wote wachafu na wakitaka kuwa chama cha upinzani wajaribu kumfukuza EL!!
 
Back
Top Bottom