Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

Lowassa atinga mkutanoni Halmashauri Kuu, Waimba tuna imani na Lowassa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,537
Mgombea maarufu aliyekatwa jina Edward Lowasa ametinga ukumbini na kupokelewa kwa shangwe na vifijo. wajumbe bila kujali makundi yao waliimba ' tuna imani na Lowasa'....! Mwenyekiti ameweka mezani ajenda tatu, mosi ilani ya uchaguzi, pili kuondoa ukomo wa ubunge na udiwani na tatu wagombea Urais wa Zanzibar na Tanzania. Nitaendelea kuwajuza yanayajiri!


 
Last edited by a moderator:
Kuondoa ukomo wa Ubunge na Udiwani? Kiaje?

Ccm inamamlaka gani juu ya kuondoa ukomo wa Ubunge na Udiwani? Nadhani taarifa haijajitoshereza..!!

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom