Lowassa ataweza kampeni kweli?


ccm hamna jipya.
kabobo zenu tumezichoka
tunahtaji vitendo kutoka ukawa na sio mipasho na udaku vya magamba.
ccm hamna jipya na tena mlaaniwe milele.madhambi yenu yatawalaani na vizazi vyenu vyote.

mwaka huu hatudanganyiki mburula nyie.
 

mkwere alidondoka mara ngapi ktka awamu yake??
idiot
 
Mimi nimemuelewa vizuri sana. Maana yake ni kuwa Lowassa ni mgonjwa hataweza kazi za urais na hata himili miki miki ya kampeni na anafikiri anaweza akafa tukalazima kufanya uchaguzi tena. Jibu ni kuwa suala ala afya ni la kidaktari. Daktari pekee ndiye anayeweza kusema kuwa anaweza au hawezi. Kikwete aliingia akionekana ni mwenye afya lakini tumeshuhudia akilazwa hospitali kwa muda mrefu na mpaka sasa ana nafuu tu. Tumemshuhudia pia akianguka majukwaani wakati wa kampeni. Kwa maelezo yake mwenyewe amesema alikuwa anaumwa muda mrefu isipokuwa alificha na pia alimficha mkewe mpaka hivi karibuni alipozidiwa. Tunajuaje hata safari nyingi anazofanya nje kama sio za kujiuguza? Mwenyewe anasema anazunguka duniani ili kuhemea vibaba ili tusife njaa lakini akiwa anaumwa! Amini amini nawaambieni, Lowassa atahudhuria maziko ya baadhi ya wanomnyooshea vidole ambao wanajiona ni wazima. Sheikh Yahaya aliyekuwa akijiita bingwa wa nyota, utabiri na unajimu alikuwa anatabiri vifo vya wenzake yuko wapi sasa? Kile kipindi cha "Ugua Pole" cha TBC huwa kinatambulishwa na kawimbo kenye ujumbe mzito sana "Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salamaaa tunawapa pole"

Nasisitiza kuwa hatuhitaji hotuba ndefu bali tunahitaji maamuzi na utendaji uliotukuka. Hotuba ndefu zimeshatolewa zimesaidia vipi kutatua matatizo yetu? Zimetolewa hotuba ndefu za kutetea wizi wa EPA, ESCROW na za kuvuruga bunge la katiba liliotumia mabilioni yetu ambayo yangetusaidia kupunguza umasikini zimetusaidia nini?
 

Mbona mleta post inasemekana anatumia ARV na hatusemi ???!
 

Lowasa hategemewi kuwa rais. Yeye analipiza kisasi kwa ccm kumnyanyasa. Anawasaidia Ukawa kumiliki bunge na halmashauri zote. Ccm watalazimika kutekeleza Sera za Ukawa na rais asiposhirikiana na bunge watamwabgusha kwa urahisi.
 
Hakuna ubishi hali ya kiafya ya Bwana lowassa inazidi kuzorota kila uchao.kwa waliofuatilia mkutano wa Jana na waandishi wa habari hali hii ilijitokeza baada ya lowassa kuonekana mwenye kulazimisha uchangamfu .

Siyo jambo la ajabu kuumwa lakini tukubaliane na hali halisi kuwa kwa muda usiopungua miezi miwili kuanzia leo kama atazunguka kwenye kampeni na akashiriki yeye mwenyewe atakuwa ameweka rehani maisha yake.

Ushauri wangu jipangeni mapema kumsaidia huyu mzee mkimwachia azunguke mtamuua.apumzike akichaguliwa aende tu kukaa ikulu hata ikibidi mumsaidie kuendesha serikali.
 
.....ni safari chache saa zisizo na vikwazo njiani!
 
Maneno hayo ndani ya CCM WAMEYASEMA sana na leo hapa tunapozungumza tayari mmoja wa Makatibu wa DSM kesha tangulia kwenye haki. Jee yeye alikuwa mgonjwa sana?
Au huyu mbona bado yupo kwa zaidi ya miaka 10 pamoja na kupiga mweleka?
 
Jaman amepitia mengi kibinadamu lazima unachoka mwili na akili pia angekuwa mtu mwingine nadhan angekuwa anatembea na drip hata wenyewe humu tunajijua tujiweke kwenye situation yake ungekuaje
 
Sijasema kwa nia mbaya kijana.kutokubali ukweli haitasaidia.Mzee Lowassa anahitaji kupumzika sana tena sana.kama watamuingiza kwenye mikikimikiki ya kampeni watamuumiza sana. Ni ushauri tu si lazima waufuate.
 
Mungu mlinde Lowasa na haya majaribu endeleeni kumtukana ila Mungu anamlinda bado na atamaliza kampeni salama kabisa na Ikulu ataiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…