lowassa atakuwa rais wa tz

lowassa atakuwa rais wa tz

jipange

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
209
Reaction score
44
kama mtu unafatiria trend zima ya jk unawezo kuona lowassa ana uwezekana mkubwa wa kuwa rais. Na hii nikutokana na madhaifu makwako ya jk katika kukamilisha kila mission aliyo ianzisha.naamin mission ya Mangufu itakuwa failure.tazama orodha za mission za jk zilivyo fell;
-katiba mpya
-maisha bora kwa kila mtanzania
-folen jiji la dar hii inaendana na mradi wa bus rapid
-shule kutokuwa na walim na elimu bora
-kilimo kwanza.
NAWEWE UNAWEZA ONGEZEA MANGINE.
 
maendeleo hayaji bila mtu kuumia na kutoka jasho,ccm ikishakuwa upinzania watapata akili na mbinu bora za kutafuta madaraka, hapo 2025 uwenda wakatushawishi tena labda tutawafikiria ila research fupi ktika watu 10 wanao kuzunguka waulize utakipa kura chama gani utaona namna gani ccm inaondolewa kwa aibu madarakani. wito kwa magufuli ajiandae tu kuwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ajipange kukijenga chama upya urais asahau mwaka huu
 
maendeleo hayaji bila mtu kuumia na kutoka jasho,ccm ikishakuwa upinzania watapata akili na mbinu bora za kutafuta madaraka, hapo 2025 uwenda wakatushawishi tena labda tutawafikiria ila research fupi ktika watu 10 wanao kuzunguka waulize utakipa kura chama gani utaona namna gani ccm inaondolewa kwa aibu madarakani. wito kwa magufuli ajiandae tu kuwa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi ajipange kukijenga chama upya urais asahau mwaka huu

Kwani chama cha upinzani ni laana?
 
kama mtu unafatiria trend zima ya jk unawezo kuona lowassa ana uwezekana mkubwa wa kuwa rais. Na hii nikutokana na madhaifu makwako ya jk katika kukamilisha kila mission aliyo ianzisha.naamin mission ya Mangufu itakuwa failure.tazama orodha za mission za jk zilivyo fell;
-katiba mpya
-maisha bora kwa kila mtanzania
-folen jiji la dar hii inaendana na mradi wa bus rapid
-shule kutokuwa na walim na elimu bora
-kilimo kwanza.
NAWEWE UNAWEZA ONGEZEA MANGINE.

Siasa sio pombe. Keep on dreaming. Acha pombe.
 
Miaka michache iliyopita kulikuwa na uzi uliohoji nani alikuwa mshauri wa rais. Tafadhali mwenye kujua ulipo aurejeshe jukwaani tufanye rejea
 
Magamba mtanyooka tu
 

Attachments

  • 1438191231567.jpg
    1438191231567.jpg
    30.9 KB · Views: 78
Kunamanabii waliishatabiri kua EL atakua raisi na hawakusema kupitia chama gani, kwahiyo kwa upande wangu nawaamini sana watumishi wa Mungu. Kwanamna alivyokua anakusanya watu huyu mzee niliona unabii unaenda kutimia. El awe ccm au CHADEMA (UKAWA) huyu mzee ndo president wa awamu ya tano. Tutaongea mengi sana Mungu akimchagua mtu kaisha mchagua. All da best mzee EL
 
Back
Top Bottom