kama mtu unafatiria trend zima ya jk unawezo kuona lowassa ana uwezekana mkubwa wa kuwa rais. Na hii nikutokana na madhaifu makwako ya jk katika kukamilisha kila mission aliyo ianzisha.naamin mission ya Mangufu itakuwa failure.tazama orodha za mission za jk zilivyo fell;
-katiba mpya
-maisha bora kwa kila mtanzania
-folen jiji la dar hii inaendana na mradi wa bus rapid
-shule kutokuwa na walim na elimu bora
-kilimo kwanza.
NAWEWE UNAWEZA ONGEZEA MANGINE.
-katiba mpya
-maisha bora kwa kila mtanzania
-folen jiji la dar hii inaendana na mradi wa bus rapid
-shule kutokuwa na walim na elimu bora
-kilimo kwanza.
NAWEWE UNAWEZA ONGEZEA MANGINE.